Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuoHata Kama Hana cha kutamba mbele ya Messi..hata Balon d or moja huyo Mbappe hana
Pamoja na umri wa Messi kwenda bado ni bora kuzidi Mbappe.Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo
Alie piga penalt ya kwamza akakosa ni nani ndugu ?Rooney anatafuta tu attention. Kibega alichopigwa Messi ni ajali tu. Tena Messi ndiye aliyeingia kwa Mbappe. Na wanasema utaratibu ni kuwa ukikosa Penalty, mfano Neymar alikosa ya kwanza, basi inayofuata anapiga mwingine. Lakini Neymar na tabia mbovu akataka kupiga tena.
Naona wanataka tu kumbully dogo
Sorry. Nilikuwa sijaelewa vizuri uchambuzi hapa youtube. Ni Mbappe. Na kwa mtindo huo anatakiwa kujiangalia. Lakini kile kibega kinaonekana ni ajali tu.Alie piga penalt ya kwamza akakosa ni nani ndugu ?
Ana UCL ngapi uyo Mbappe?Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo
Mbapee,..ya pili Neema kalazmisha kupiga na aka score...ndo ugomv ukaanzia hapoAlie piga penalt ya kwamza akakosa ni nani ndugu ?
Amepewa huo ujeuri na mkataba mpya uliomfanya abakie hapo PSG.Wayne Rooney kashangaa Mbappe anatoa jeuri wapi ya kumletea ujeuri Messi wakati Messi alipokuwa umri huu WA Mbappe alikuwa na Ballon d or nne?...naona Mbappe anazidi kuongeza maadui ..hata Perez alisema huyu Mbappe sio Yule tulikuwa tunamtaka...
Wanasahau figisu alizokuwa anafanya messi kwa akina ibramovichAna world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo