Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,186
- 166,180
Sikio limezidi kichwaWayne Rooney kashangaa Mbappe anatoa jeuri wapi ya kumletea ujeuri Messi wakati Messi alipokuwa umri huu WA Mbappe alikuwa na Ballon d or nne?...naona Mbappe anazidi kuongeza maadui ..hata Perez alisema huyu Mbappe sio Yule tulikuwa tunamtaka...