wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Tunakuja na TRIPLE K Sasa hivi.ni nini iyo
Tunakuja na TRIPLE K Sasa hivi.ni nini iyo
Yote kwa yote Mungu ashukuriwe kutuondolea yule Shetani.
Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much
katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM
Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM
Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM
Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa
Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM
Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,
nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue
JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya
Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa
View attachment 1935664
View attachment 1935725
Kakurwa, Polepole, Kalemani na Kabudi ndio watu wenye akili sana nchi hii?!Hahahah, nimependa reaction ya watanzania. Kweli zama hizi ni zama za utandawazi.
Watanzania ni werevu Sana.
Mama kazi anayo.
Kwa Kalemani, ameonyesha biff.
Sasa matokeo ya biff, hua nimatumizi ya nguvu kuzima Resistance. Ajiandae kuitwa Dictator Muda si mrefu.
Make naona anatoa watu wenye akili Sana na wenye uelewa mpana. Kakurwa, Pole pole, Kalemani, .,.eh!!? Kabudi kabaki eh!?
Hahahah, nimependa reaction ya watanzania. Kweli zama hizi ni zama za utandawazi.
Watanzania ni werevu Sana.
Mama kazi anayo.
Kwa Kalemani, ameonyesha biff.
Sasa matokeo ya biff, hua nimatumizi ya nguvu kuzima Resistance. Ajiandae kuitwa Dictator Muda si mrefu.
Make naona anatoa watu wenye akili Sana na wenye uelewa mpana. Kakurwa, Pole pole, Kalemani, .,.eh!!? Kabudi kabaki eh!?
Unachotakiwa kujua Rais Ni mtumishi namba moja wa Umma kwaio watu kusema ,kulalamika,kuongea ,kushauri Ni kwa sababu maamuzi anayoyafanya kwenye kile kitu yanawagusa moja kwa moja.Kwaio let them talk alafu yeye Kama Rais achukue Yale yenye tija yasiyo na tija aachane nayo.
Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much
katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM
Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM
Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM
Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa
Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM
Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,
nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue
JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya
Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa
View attachment 1935664
View attachment 1935725
Hizo kelele zao hazimkwamishi Samia, atapiga chini masalia yote ya magufuli, ndio wanaomkwamisha hao wasaliti
Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much
katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM
Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM
Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM
Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa
Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM
Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,
nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue
JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya
Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa
View attachment 1935664
View attachment 1935725
Dikteta aliharibu nchi, nna kijana wangu ilibidi wapande vyeo kitambo tangu waende kozi, hila kaja kuwapandisha vyeo Rais wasasa, yule mwendazake aliwabania,Kiukweli ni jpm alitufikisha mahala pasuri ila Sasa nchi imekuwa kavu mno
Wachache wanamchukia mama sababu ya dini yake tu,yaani wao wanataka nchi iongozwe na wa upande wa Roma tuYaani bado tu hujatambua kuwa nchi hii Rais akiwa Muislamu ni shida?! Niambie Rais gani Muislam hakusemwa vibaya? Mzee Mwinyi kawatoa watu wanavaa viraka na mlo mmoja kwa siku akaweka miundombinu ya utafutaji na kufufua uchumi na watu maisha yakaboreka lakini alisemwa vibaya hadi kuchorwa vikatuni. Anasifiwa Nyerere aliyeua uchumi. Mzee wetu wa Msoga licha ya kuikuza sekta binafsi na kutoa ajira huku akipandisha mshahara kila mwaka alisemwa vibaya. JPM alikuwa na mapungufu kibao na mifano ipo mingi lakini anasifiwa hadi leo. Mama anafanya kazi nzuri lakini utendaji wake unakwamishwa na uharibifu mkubwa uliofanywa na Mwendazake na kundi lake.
KamposeJendawazimu la chattle lile halikuwa na chochote zaidi ya umalaya na wizi na kuonea watu, ukabila etc. Ukiataka kuamini lilikua la hovyo angalia mkewe anavyonawiri sasa baada ya lenyewe kufa, mama wawatu kawa kijanaaaaaaa
😂😂Nimecheka sana,labda ana mimba na itakuwa mtoto wa kiume😂😂😂
Analekebisha nini? Toa mfano.JPM ndio aliharibu kila kitu, Samia anajaribu kurekebisha nae yamemshinda. Kwani hao waliopo si ndio aliwaacha huyo JPM. Hao ma V8, na huyo anaefufua watu, JPM alitiharibia hii nchi.
Samia angepaswa kuvunja balaza lote la mawaziri, kuanza na PM na hao wengine. Aunde balaza lake, hao mikia wa J awapige chini.