Mbali na kuwa Rais, Magufuli alikuwa nani katika nchi hii? Tumechoka sasa


Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much

katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM

Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM

Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM

Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa

Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM

Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,

nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue

JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya

Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa

View attachment 1935664
View attachment 1935725
Yote kwa yote Mungu ashukuriwe kutuondolea yule Shetani.
 
Hahahah, nimependa reaction ya watanzania. Kweli zama hizi ni zama za utandawazi.

Watanzania ni werevu Sana.
Mama kazi anayo.
Kwa Kalemani, ameonyesha biff.

Sasa matokeo ya biff, hua nimatumizi ya nguvu kuzima Resistance. Ajiandae kuitwa Dictator Muda si mrefu.

Make naona anatoa watu wenye akili Sana na wenye uelewa mpana. Kakurwa, Pole pole, Kalemani, .,.eh!!? Kabudi kabaki eh!?
Kakurwa, Polepole, Kalemani na Kabudi ndio watu wenye akili sana nchi hii?!
God have mercy on us!
 
Hahahah, nimependa reaction ya watanzania. Kweli zama hizi ni zama za utandawazi.

Watanzania ni werevu Sana.
Mama kazi anayo.
Kwa Kalemani, ameonyesha biff.

Sasa matokeo ya biff, hua nimatumizi ya nguvu kuzima Resistance. Ajiandae kuitwa Dictator Muda si mrefu.

Make naona anatoa watu wenye akili Sana na wenye uelewa mpana. Kakurwa, Pole pole, Kalemani, .,.eh!!? Kabudi kabaki eh!?

hahahahaha hao ndio wenye uelewa..
 

Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much

katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM

Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM

Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM

Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa

Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM

Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,

nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue

JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya

Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa

View attachment 1935664
View attachment 1935725
Unachotakiwa kujua Rais Ni mtumishi namba moja wa Umma kwaio watu kusema ,kulalamika,kuongea ,kushauri Ni kwa sababu maamuzi anayoyafanya kwenye kile kitu yanawagusa moja kwa moja.Kwaio let them talk alafu yeye Kama Rais achukue Yale yenye tija yasiyo na tija aachane nayo.
 

Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much

katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM

Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM

Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM

Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa

Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM

Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,

nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue

JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya

Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa

View attachment 1935664
View attachment 1935725
Hizo kelele zao hazimkwamishi Samia, atapiga chini masalia yote ya magufuli, ndio wanaomkwamisha hao wasaliti
 
Kiukweli ni jpm alitufikisha mahala pasuri ila Sasa nchi imekuwa kavu mno
Dikteta aliharibu nchi, nna kijana wangu ilibidi wapande vyeo kitambo tangu waende kozi, hila kaja kuwapandisha vyeo Rais wasasa, yule mwendazake aliwabania,

Mama ataongoza Nchi Hadi achoke mwenyewe
 
Yaani bado tu hujatambua kuwa nchi hii Rais akiwa Muislamu ni shida?! Niambie Rais gani Muislam hakusemwa vibaya? Mzee Mwinyi kawatoa watu wanavaa viraka na mlo mmoja kwa siku akaweka miundombinu ya utafutaji na kufufua uchumi na watu maisha yakaboreka lakini alisemwa vibaya hadi kuchorwa vikatuni. Anasifiwa Nyerere aliyeua uchumi. Mzee wetu wa Msoga licha ya kuikuza sekta binafsi na kutoa ajira huku akipandisha mshahara kila mwaka alisemwa vibaya. JPM alikuwa na mapungufu kibao na mifano ipo mingi lakini anasifiwa hadi leo. Mama anafanya kazi nzuri lakini utendaji wake unakwamishwa na uharibifu mkubwa uliofanywa na Mwendazake na kundi lake.
Wachache wanamchukia mama sababu ya dini yake tu,yaani wao wanataka nchi iongozwe na wa upande wa Roma tu
 
Kuna watu wwngine wengi wa mwendazake ambao mama anawachinja siku sio nyingi, kuna mijitu haina impact yoyote na inaendelea kuwepo tu , ameona akicheka na kima atavuna mabua , sijui hata huyo kalemani aliyemwambia ambakishe kipindi kile anaunda serikali yake ni nani
 
Wajinga ka hawa ndio walimwaribu mwendazake kwa kumsifia sifa zisizo zake mwanadamu anawezaje kuwa mtakatifu?
Bora mama Samia hataki sifa za kijinga
 
Mbongo sifa yake kubwa ni roho mbaya akiona mtu anateseka yeye ndio furaha yake na mwendazake alikuwa ana roho mbaya ndio maana alipata mashabiki wengi.
 
P
Jendawazimu la chattle lile halikuwa na chochote zaidi ya umalaya na wizi na kuonea watu, ukabila etc. Ukiataka kuamini lilikua la hovyo angalia mkewe anavyonawiri sasa baada ya lenyewe kufa, mama wawatu kawa kijanaaaaaaa
Kampose
 
Legacy inajilinda yenyewe.


Mama anakazi ya kuhakikisha Kila kitu kiko poa kabisa. La sivyo ataendelea kulia.
 
JPM ndio aliharibu kila kitu, Samia anajaribu kurekebisha nae yamemshinda. Kwani hao waliopo si ndio aliwaacha huyo JPM. Hao ma V8, na huyo anaefufua watu, JPM alitiharibia hii nchi.

Samia angepaswa kuvunja balaza lote la mawaziri, kuanza na PM na hao wengine. Aunde balaza lake, hao mikia wa J awapige chini.
Analekebisha nini? Toa mfano.

Utamuondoaje mtu ambae anachapa kazi na kunuweka mtu anaetuhumiwa kwa wizi wa ma bilioni ya pesa?

Serikali ya TOZO
 
Back
Top Bottom