Mbalamwezi na nadharia zake

Haiwezekani, huyo alikuwa mtoto wa zinaa
Huo ni upotoshaji. Mtoto wa zinaa vipi wakati Hajri alikuwa mkewe Ibrahim? Acheni kupotosha maandiko!
Halafu ninyi naona hamjawashitukia wachungaji. Wanawaambia hivyo ili kujenga chuki na uislam. Ismail ndiye aliyezaa uislam kwa hiyo usitarajie waeleze mazuri ya ismail.
Kisha washitukieni wachungaji maana kama mtoto wa zinaa basi atakuwa ni ISAKA maana Ibrahim alimwoa Sara ambaye ni DADA YAKE!
Ukizaa na dada yako unakuwa umezini!
 
Kwani biblia na quran ipi ya kwanza kuwepo tuanzie hapo
Kutangulia kitabu issue ni nini? Kitabu kinachotangulia kinakuwa ni edition ya zamani kinachofuata kinakuwa ni new edition kinarekebisha kilichopita yaani new edition.
 
Haiwezekani, huyo alikuwa mtoto wa zinaa
Someni biblia vizuri. Mtoto aliyetakiwa kuchinjwa ni wa kutoka KIUONI mwa Ibrahim. Ukisoma biblia vizuri utakuta mtoto aliyetoko kiunoni mwa Ibrahim ni ISMAIL na mtoto wa AHADI ni ISAKA.
Someni biblia acheni kusikiliza upotoshaji na pia acheni chuki.
 
Mbalamwezi ikiwa kwenye umbo lake kamili huwa kuna vivuli fulani vinaonekana pale,hivi vivuli vinazungumziwa kwa namna mbalimbali kulingana na mawazo na mazingira tofauti,mfano:
Dodoma
Nikiwa mdogo kijijini kwetu kongwa huko,niliambiwa vile vivuli ni mwanaume na mkewe wakikata kuni porini!
Kigoma
Wanadai yule ni mvuvi akihangaika kuvuta nyavu iliyosheheni samaki(migebuka)toka ziwani
Iringa
Wanadai ni baba akiwapa usia wanawe!
Wanasayansi
Wanadai mwezi umetawaliwa na maji kwa sehemu kubwa na vile vivuli ni eneo la nchi kavu...

Lakini....
Vile vivuli ni taswira ya Baba yetu Abraham akijiandaa kumchinja mwanae mpendwa Isaka.

Over.
Mwezi wetu hauna maji yale ni mabonde yasiyofikiwa na mwanga wa kuakisiwa kwa jua hubaki na giza kwa umbali uliopo ndio maana tunaona kama maumbo ya weus
Lakini uhalisia ile ni vivuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom