Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Wale ni Sizonje na Bashite.
Biblia!Kwani biblia na quran ipi ya kwanza kuwepo tuanzie hapo
Kuna maana kubwa sana kwenye mwezi mkubwa, ila sisi tunachukulia kama ni hadithi za wahengaZile ni hadithi tuu mara nyingi zilitumika wakati wa jioni tunasubiria chakula ili tusisinzie
Kwa shayo midiziniVile ni babu na bibi zetu wakichaga wnaenda kunywa mbege
Ndo akina nani tena?Wale ni Sizonje na Bashite.
Fafanua kidogo mkuu ili tuache kuamini zile hadithiKuna maana kubwa sana kwenye mwezi mkubwa, ila sisi tunachukulia kama ni hadithi za wahenga
Siku ukipikwa wali wenzako wakikufuata mkacheze unawajibu SICHEEEEEEEZIIIIIIHuo ndio ukweli. Nilikuwa sizielewi hadithi zile siku ukipikwa wali!
100%Biblia!
Huo ni upotoshaji. Mtoto wa zinaa vipi wakati Hajri alikuwa mkewe Ibrahim? Acheni kupotosha maandiko!Haiwezekani, huyo alikuwa mtoto wa zinaa
Kutangulia kitabu issue ni nini? Kitabu kinachotangulia kinakuwa ni edition ya zamani kinachofuata kinakuwa ni new edition kinarekebisha kilichopita yaani new edition.Kwani biblia na quran ipi ya kwanza kuwepo tuanzie hapo
Someni biblia vizuri. Mtoto aliyetakiwa kuchinjwa ni wa kutoka KIUONI mwa Ibrahim. Ukisoma biblia vizuri utakuta mtoto aliyetoko kiunoni mwa Ibrahim ni ISMAIL na mtoto wa AHADI ni ISAKA.Haiwezekani, huyo alikuwa mtoto wa zinaa
Hilo jina la ISAKA kwenye biblia kuhusu aliyetakiwa kuchinjwa lilichomekwa badala ya kuwekwa jiba sahihi la aliyetakiwa kuchinjwa ambaye ni ISMAIL.Haiwezekani, huyo alikuwa mtoto wa zinaa
Hasa wako na maharage na mapema samaki wa kukaanga kwa juu yakeHuo ndio ukweli. Nilikuwa sizielewi hadithi zile siku ukipikwa wali!
Mwezi wetu hauna maji yale ni mabonde yasiyofikiwa na mwanga wa kuakisiwa kwa jua hubaki na giza kwa umbali uliopo ndio maana tunaona kama maumbo ya weusMbalamwezi ikiwa kwenye umbo lake kamili huwa kuna vivuli fulani vinaonekana pale,hivi vivuli vinazungumziwa kwa namna mbalimbali kulingana na mawazo na mazingira tofauti,mfano:
Dodoma
Nikiwa mdogo kijijini kwetu kongwa huko,niliambiwa vile vivuli ni mwanaume na mkewe wakikata kuni porini!
Kigoma
Wanadai yule ni mvuvi akihangaika kuvuta nyavu iliyosheheni samaki(migebuka)toka ziwani
Iringa
Wanadai ni baba akiwapa usia wanawe!
Wanasayansi
Wanadai mwezi umetawaliwa na maji kwa sehemu kubwa na vile vivuli ni eneo la nchi kavu...
Lakini....
Vile vivuli ni taswira ya Baba yetu Abraham akijiandaa kumchinja mwanae mpendwa Isaka.
Over.
Acha kabisaHasa wako na maharage na mapema samaki wa kukaanga kwa juu yake