KASUKU BUBU
Member
- Dec 25, 2011
- 12
- 0
Ufundishaji wa Masters of Business Administration(MBA),Tumaini University unatia aibu sana. Utakuta mwanafunzi hana uwezo wa mathematics, alikotoka kote masomo ya mathematics kapata "F" a.k.a mswaki, lakini akijiunga MBA Tumaini University-Iringa ana graduate akiwa na "A" kwenye masomo yote involving mathematics.
Ikiwa Basic mathematics e.g jumlisha na kutoa decimal places mtu hawezi.. inakuaje apate "A" ya 96% ya financial management?
95% ya Quantitative mathematics? the same student anakiri wazi kuwa yeye hana uwezo na masomo hayo,sasa hizi "A" zinatoka wapi? Wapo waliomaliza MBA then hapo hapo wanaamua kusoma masterz ya Community Development the same university,ukiwauliza y,kwanini... wanakuambia MBA tumechakachuliwa.....,tuna vyeti without knowledge.
Tumaini inatupeleka wapi watanganyika?
Wahusika tunaomba mjirekebishe, hata kama ni biashara tangulizeni na uzalendo kwa taifa.
Ikiwa Basic mathematics e.g jumlisha na kutoa decimal places mtu hawezi.. inakuaje apate "A" ya 96% ya financial management?
95% ya Quantitative mathematics? the same student anakiri wazi kuwa yeye hana uwezo na masomo hayo,sasa hizi "A" zinatoka wapi? Wapo waliomaliza MBA then hapo hapo wanaamua kusoma masterz ya Community Development the same university,ukiwauliza y,kwanini... wanakuambia MBA tumechakachuliwa.....,tuna vyeti without knowledge.
Tumaini inatupeleka wapi watanganyika?
Wahusika tunaomba mjirekebishe, hata kama ni biashara tangulizeni na uzalendo kwa taifa.