witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,101
ila mhh mi hii hali ianitokeaga sana nikiwa ibadani yaan unakuta mawazo yamehama..nikisikia amen duh nashtuka narud kwenye kusikiliza..!ila unakuta mambo mengi yameshanipita
Mimi huwa inatokea lakini hakuna kipindi nilipata wakati mgumu kama wakati nasoma!...badala niconcentrate na kumsikiliza lecturer, nawaza vitu fulani afu vya kipuuzi puuzi ila ndo navutiwa navyo balaa!