ndio maana wazungu wakaweka sehemu ya kuandika msg kwenye simu vuta picha ingekuwaje kila unachotaka kumwambia mwenzako kupitia simu lazima upige!
na uko ndo kuna ndoto za bunuasi nyingi yani unaweza kujiona ni mungu kumbe ni mtanzania mchwara
Hebu pata picha hii umemdate mtu mmeenda vizuri sana mpaka ikafika siku ya siku! Unakuwa na hamu naye kweli mnapanda kitandani unamaliza ufundi wako wote halafu mwenzako yuko kimya baridi kabisa unafikiri anawaza nini kwa wakati ule? Hawezi kuwa mkweli kukwambia aslani
Dah ila kweli kwa nfano ninavyomdanganya msichana laiti kama angesikia na ninachoongea ndani angenikimbiza na makuni esi suni esi posibo.
Mkitulia kimya kundi la watu kizamani zamani utasikia shetani kapita kumbe wapi watu wapo na halmashauri zao za vichwaHii kitu ipo sana unaona kabisa watu wanetulia kimya wanasikiliza kwa makini kumbe vichwani mwao ni zogo tupu