Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Nachukua fursa hii kuwakumbusha polisi kamwe umma haujaribiwi. Msicheze na moto.

Umma
Umma chaggadema??? Umma sisi tulio mchagua mh.rais ,tukampa na jeshi ili atumie kutulinda na watu kama nyie wa fyokofyoko.Democrasi mlipewa miaka kumi mkaishia kejeli,na matusi. Ebu pisheni kule hadanganywi mtu hapa
Nachukua fursa hii kuwakumbusha polisi kamwe umma haujaribiwi. Msicheze na moto.
 
Jifariji. Lakini nakuhakikishia hamtoboi, na ndo mwisho karata yenu,
Jiongeze unafichua uchi Wa fikra dhaifu ulizonazo .hapa apatafutwi kutoboza panatafutwa mlinganio sawa chini ya sheria za nchi .
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
we kama simgogo ni mnyasa au mrundi
 
Jiongeze unafichua uchi Wa fikra dhaifu ulizonazo .hapa apatafutwi kutoboza panatafutwa mlinganio sawa chini ya sheria za nchi .
Mlinganio uliyeyuka baada ya kubadili gear angani, kosa la kimkakati kisiasa
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
Wewe mjinga, kuandamana si kuharibu amani ya taifa, wanaoandamana Hawana silaha, acheni uoga ccm dola ,hatuogopi kufa, tuueni tu nanyi mtakufa.
 
Wewe mjinga, kuandamana si kuharibu amani ya taifa, wanaoandamana Hawana silaha, acheni uoga ccm dola ,hatuogopi kufa, tuueni tu nanyi mtakufa.
Ni kweli sote tutaonja mauti. Suala ni kwamba lazima nyie mtangulie kwanza ili sie tu.... wake na dada zenu
 
Ina maana hawana ratiba ya kuwa na mazoezi ya mara kwa mara mpaka UKUTA umefikia course ya sita?
Mazoezi gani hayo.watu wanafanya maonesho ya sarakasi yalee .mnapandiana watu nane hiyo pozi utaipata wapi kwenye maandamano .wakifanikiwa kufanya hiyo sarakasi na watu wakaacha maandamano itakuwa .Tanzania ya kwanza toka kuwapo dunia hii .kwa upande wangu huu utawala auna baraka za Mungu muenzi Wa yote.
 
Kwenye siasa Lugha hujibiwa kwa Lugha na siyo kwa mitulinga ya dola. Trump kasema Obama ni rais wa hovyo kabisa kutokea katika siasa za nchi hiyo. Lakini Obama hakutuma maaskari wamkamate Trump, badala yake akajibu kuwa anashangaa ni kwa nini mpa
asa Republikan bado wanamuunga mkono Trump mtu ambaye hana sifa za kuwa Rais wa Marekani na wala hakujiandaa kugombea nafasi kubwa kabisa kwenye nchi hiyo.[/QUO
Kwa hiyo ndiko mliko jifunzia matusi.!?kumbuka hicho ndio kipindi cha siasa yaani cha kampeni ,hata huku tulifanya unakumbuka!?
Sasa mtani unataka mambo ya kwenye kampeni leo ?!.usisogelee ukuta
 
Naomba muongeze kasi ya kutupeleka JKT ili 2020 tukutane wote tukiwa masoja tuone mziki wake
 
1471808057294.jpg
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.

Kumbe amani inalindwa na bunduki /mazoezi/vifaru na nyenzo nyingine ?..Sikuwa nnajua aisee ,hivi kule Iraq/Afghanistan/Libya/Syria na kwingineko silaha zimeileta hiyo Amani ?..

Unawaza kwa kutumia kitu gani kwani vile ?.
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
Tanzania hatujapigania uhuru tulipewa kenya na uganda wao walipigania uhuru...
 
Kwenye siasa Lugha hujibiwa kwa Lugha na siyo kwa mitulinga ya dola. Trump kasema Obama ni rais wa hovyo kabisa kutokea katika siasa za nchi hiyo. Lakini Obama hakutuma maaskari wamkamate Trump, badala yake akajibu kuwa anashangaa ni kwa nini mpaka sasa Republikan bado wanamuunga mkono Trump mtu ambaye hana sifa za kuwa Rais wa Marekani na wala hakujiandaa kugombea nafasi kubwa kabisa kwenye nchi hiyo.
Akili fupi sana ...kufananisha siasa za magharibi na za Africa
 
Akili fupi sana ...kufananisha siasa za magharibi na za Africa
Jana Mwigulu kasema yeye tangu akiwa Darasa la sita alikuwa anafuatilia siasa za Uingereza na Marekani. Mbona hakusema alikuwa anafuatilia siasa za Kenya na Somalia, na yeye ana akili fupi kama mimi?
 
Back
Top Bottom