Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Lugha zenu umesahau?
Kwenye siasa Lugha hujibiwa kwa Lugha na siyo kwa mitulinga ya dola. Trump kasema Obama ni rais wa hovyo kabisa kutokea katika siasa za nchi hiyo. Lakini Obama hakutuma maaskari wamkamate Trump, badala yake akajibu kuwa anashangaa ni kwa nini mpaka sasa Republikan bado wanamuunga mkono Trump mtu ambaye hana sifa za kuwa Rais wa Marekani na wala hakujiandaa kugombea nafasi kubwa kabisa kwenye nchi hiyo.
 
Umemjibu vizuri sana huyo gamba
Kwenye siasa Lugha hujibiwa kwa Lugha na siyo kwa mitulinga ya dola. Trump kasema Obama ni rais wa hovyo kabisa kutokea katika siasa za nchi hiyo. Lakini Obama hakutuma maaskari wamkamate Trump, badala yake akajibu kuwa anashangaa ni kwa nini mpaka sasa Republikan bado wanamuunga mkono Trump mtu ambaye hana sifa za kuwa Rais wa Marekani na wala hakujiandaa kugombea nafasi kubwa kabisa kwenye nchi hiyo.
 
Kwenye siasa Lugha hujibiwa kwa Lugha na siyo kwa mitulinga ya dola. Trump kasema Obama ni rais wa hovyo kabisa kutokea katika siasa za nchi hiyo Obama hakutuma maaskari wamkamate Trump, badala yake akajibu kuwa anashangaa ni kwa nini mpaka sasa Republikan bado wanamuunga mkono Trump mtu ambaye hana sifa za kuwa Rais wa Marekani na wala hakujiandaa kugombea nafasi kubwa kabisa kwenye nchi hiyo.
Tatizo lenu mmelenga kubomoa umoja kwa kisingizio cha kudai democracy. Lazima mzibitiwe.

Pia credibility ya Chadema iliyeyuka baada ya kubadili gear angani. Hii itawagharimu kwa Muda mrefu sana maishani
 
Wengi wa hawa hata huwa hawajielewi. Wakiua wanarukwa na wakubwa wao. Wamuulize muuaji wa Mwangosi alijifanya kiherehere yuko wapi sasa!!
 
Tatizo lenu mmelenga kubomoa umoja kwa kisingizio cha kudai democracy. Lazima mzibitiwe.

Pia credibility ya Chadema iliyeyuka baada ya kubadili gear angani. Hii itawagharimu kwa Muda mrefu sana maishani
Kama "Credibility" yao imepotea si ndiyo waachiwe ili wakaibike kwa wananchi. Halafu kwani kwa sasa watanzani ni wamoja. Kuna wanaokula na kusaza na kuna wengine hata mlo mmoja kwa siku ni shida. Kuna wale wanasomesha watoto wao kwenye shule wanazolipa ada ya shilingi milioni kumi (1,000,000) kwa mwaka na wengine kule kwa serikali kufuta kulipa ada ya shilingi elfu ishirini (20,000) kwa mwaka walishangilia mpaka machozi ya furaha yakawatoka!! Halafu kwani umoja unavunjwa kwa kusema mafisadi wapelekwe mahakamani?
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
We mwongo na mwoga kama walimwaga damu acha tena imwagike
 
Kama "Credibility" yao imepotea si ndiyo waachiwe ili wakaibike kwa wananchi. Halafu kwani kwa sasa watanzani ni wamoja. Kuna wanaokula na kusaza na kuna wengine hata mlo mmoja kwa siku ni shida. Kuna wale wanasomesha watoto wao kwenye shule wanalipa ada ya shilingi milioni kumi kwa mwaka na wengine kufutiwa kulipa ada ya shilingi elfu ishirini kwa mwaka walishangilia mpaka machozi ya furaha yakawatoka!! Halafu umoja unavunjwa kwa kusema mafisadi wapelekwe mahakamani?
Moja ya hao ulio wataja ni viongozi wa chama chako. Ruzuku haiakisi uhalisia toka ianze kutolewa.
Pia pesa waliopiga jamaa zako kubadilisha gear angani na jinsi madiwani wa Arusha wanavyoitafuna halmashauri etc, ni shame kwenu
 
Nachukua fursa hii kuwakumbusha polisi kamwe umma haujaribiwi. Msicheze na moto.
 
kumbe wameanza kufanya mazoezi juzi tu walikuwa wanalala huku mshahara ukingia tu
 
Nachukua fursa hii kuwakumbusha polisi kamwe umma haujaribiwi. Msicheze na moto.
Umma uliachana Nanyi siku mlio badili gear angani na kumtosa Dr Slaa founder wa kweli, kisa pesa ya mzee mamvi. Dhambi hii itawagharimu sana
 
Kazi kwenu wazee wa Ukuta
Hii mbinuu ni ya ovyio imepitwa na wakati kuliko mailezo ,uende kwa bahati mbaya sana utawala huu umejaa washamba kibao.hakuna tafsiri zaidi dhidi yao .subiri utaona jogoo Washamba awiki mjini .and don't forget its easy to brought a man from the bush but its not easy to brought a bush from a man .that its
 
Umma uliachana Nanyi siku mlio badili gear angani na kumtosa Dr Slaa founder wa kweli, kisa pesa ya mzee mamvi. Dhambi hii itawagharimu sana
Yaani huyu Mbowe baada ya kutuaminisha Lowasa ni fisadi sasa amebadili gea angani na kutaka kutuaminisha Magufuli ni dikteta. Tarehe moja wacha virungu vitembee.
 
Back
Top Bottom