Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
- Thread starter
- #81
Zako ni fupi kuliko maelezoJana Mwigulu kasema yeye tangu akiwa Darasa la sita alikuwa anafuatilia siasa za Uingereza na Marekani. Mbona hakusema alikuwa anafuatilia siasa za Kenya na Somalia, na yeye ana akili fupi kama mimi?