Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Mazoezi ya jeshi La polisi Morogoro, ITV

Police kuwatisha wanainchi ni upuuzi na uwendawazimu. Haki ya mtu siyo swala la pendekezo la yeyote. Hii ni haki ya kulaliwa. Rais kuvunja Katiba na kufanya yake halikubaliki. Maigizo ya Police ni mbwembwe tu za kumfurahisha mfalme ****, na mwisho wa siku cheusi kitakuwa cheusi na cheupe kitakuwa cheupe. Swali ni hili ; je, hao Police hawana ndugu kutoka upande wenye kuitetea Katiba na kuilinda?
Utaratibu ni kwamba kama Rais Magufuli anavunja katiba si mwende mahakamani?

Mahakama zipo kutafsiri sheria na zipo huru.
Kesi ngapi mmeshinda kwa kutumia mahakama hizi?
Fuateni procedure
Mbona kesi
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
Amani gani watu wanachezea! Kuna mtu alikuambia kuwa kuna silaa watu watakua Nazo? Ni jambo gani litafanyika kinyume cha Sheria? Ni maandamano ya amani ya kudai kutovunjwa kwa katiba ya nchi.
 
Nimeamini pasi na shaka udikteta umetia tanzania, tumepata idi amin wetu
Oyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii yaani nimecheka sana. Kweli watu wamedata
 
Naona leo mapema na ving'ora wanapita mjini kuonesha kwamba wako tiyari hata kwa UKUTA wa zege!!
 
Ukuta unawafanya askari wasilale lakini wanalala vituoni mpaka majambazi wanavamia na kuiba silaha, wanalala mpaka majambazi yanaua watu huko amboni
Kwa ajili ya kuwalinda wananchi wao kutoka kwa manyang'au wacache!
 
Mnadhani wanatania? Jifanye chizi uingie barabarani hiyo siku uone.

Haiwezekani uchezee amani ya nchi yetu ambayo watu walimwaga damu na wengine kuhatarisha maisha yao ili ipatikane.
na itamwagika tena ili tukombolewe na uchwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, kumbe inabidi imwagike sio?
 
Back
Top Bottom