ThePromise
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 210
- 48
Kweli wewe uko so artificial!haya,ukapewa hiyo dawa yakawa unavyotaka utamsifu nani kwa uumbaji?Mungu au binadamu alokupa that dawa?jiamini dada Mungu kakuumba ulivyo akiamin umekamilika,hangaika uone kilichomtoa kanga madoa!