Mazishi ya Rais wa Falme za Kiarabu

Taratibu za mazishi ni suala la kitamaduni, kila tamaduni zina mifumo yao tofauti na jamii nyingine. Hata sisi waafrika ondoa tamaduni za hao waliotuletea dini na sisi kwa umaandazi wetu tumeacha ile mifumo ya makabila na koo zetu tunaiga koo za waarabu na wazungu. Mazishi hayakufikishi/ kutokufikisha mbinguni kama uliishi kwa matendo mema wewe ni wa.mbinguni tuu bila kujali umezikwa kichwa kinaangalia wapi au uliliwa na mamba. Kama ulikuwa ni mmoja wa wauaji kama wale waliomchoma moto binti wa watu huko Nigeria wewe ni wa motoni tuu bila kujali umezikwa vipi
Sio TAMADUNI bali SHERIA ZA DINI YA KIISLAM, DUNIA NZIMA, AU UKIFA USICHELEWESHWE KUZIKWA, LABDA ITOKEE DHARULA.
 
Sio TAMADUNI bali SHERIA ZA DINI YA KIISLAM, DUNIA NZIMA, AU UKIFA USICHELEWESHWE KUZIKWA, LABDA ITOKEE DHARULA.

HAZKUNA UBISHI KUWA WAISLAM WANEIGA TAMADUNI ZA KIRARABU

TAMADUNI HUWASILISHWA NA VITU VIFUATAVYO

♦️ Lugha........mmeiga lugha ya kiarabu

♦️ Mavazi....... mmeiga mavazi ya kiatabu

♦️ Chakula.......mmeiga vyakula vya kiarabu

♦️ Sheria za kijadi.....mnafuata za kiarabu

♦️ Ngoma za kiasili.....mmeiga ngoma za kiarabu , madudufu mnayopiga kwenye qaswida ni ngoma za jadi za waarabu, na muziki wa taarabu nao ni wao

♦️Mifumo ya kimaisha, shetehe na maziko nayo mmeiga ya waarabu kwani huku bongo kila kabila lina jadi yake ya mazishi, kuna wanaozikwa na ngozi, kuna machifu wanazikwa wamekalia vigoda nk
 
HAZKUNA UBISHI KUWA WAISLAM WANEIGA TAMADUNI ZA KIRARABU

TAMADUNI HUWASILISHWA NA VITU VIFUATAVYO

Lugha........mmeiga lugha ya kiarabu

Mavazi....... mmeiga mavazi ya kiatabu

Chakula.......mmeiga vyakula vya kiarabu

Sheria za kijadi.....mnafuata za kiarabu

Ngoma za kiasili.....mmeiga ngoma za kiarabu , madudufu mnayopiga kwenye qaswida ni ngoma za jadi za waarabu, na muziki wa taarabu nao ni wao

Mifumo ya kimaisha, shetehe na maziko nayo mmeiga ya waarabu kwani huku bongo kila kabila lina jadi yake ya mazishi, kuna wanaozikwa na ngozi, kuna machifu wanazikwa wamekalia vigoda nk
Tamaduni zina utofauti kati ya jamii moja na nyingine.
Mfano WANGONI hawafanani na WACHAGA. Haya tuambie sasa kwann taratibu za mazishi hufanana kwa WAARABU WOTE, na kwann TARATIBU HIZO ZISIFANANE KWA WAAFRIKA WOTE.??

MSINGI MKUU NI DINI. KUMBUKA KUNA MATAIFA YANA TAMADUNI TOFAUTI ILA KWENYE MAZISHI HUFANANA. AU KWA AKILI YAKO UNAHISI UARABUNI NI SEHEMU NDOGO KWAMBA WANA UWEZO WA KUWA NA TAMADUNI SAWA??
 
Sio UTAMADUNI ni SHERIA ZA DINI YA KIISLAM.
Utamaduni wa eneo moja lazima utofautiane na wa eneo jingine. Huko Uarabuni kuna nchi kibao na ziko mbalimbali si Rahisi kufanana Tamaduni ikiwa hapa TZ tu hatufanani tamaduni baina ya makabila.
Kwani sheria za dini ya kiislamu sio sehemu ya utamaduni wao?
 
Taratibu za mazishi ni suala la kitamaduni, kila tamaduni zina mifumo yao tofauti na jamii nyingine. Hata sisi waafrika ondoa tamaduni za hao waliotuletea dini na sisi kwa umaandazi wetu tumeacha ile mifumo ya makabila na koo zetu tunaiga koo za waarabu na wazungu. Mazishi hayakufikishi/ kutokufikisha mbinguni kama uliishi kwa matendo mema wewe ni wa.mbinguni tuu bila kujali umezikwa kichwa kinaangalia wapi au uliliwa na mamba. Kama ulikuwa ni mmoja wa wauaji kama wale waliomchoma moto binti wa watu huko Nigeria wewe ni wa motoni tuu bila kujali umezikwa vipi
Huyo kiongozi amezikwa kwa mujibu wa dini yake ya Uislamu. Dini inapokuja huwa inatengeneza na kuondoa tamaduni mbaya, na zile tamaduni nzuri huziendeleza.

Hivi ndivyo Waislamu wote hupaswa kuzikwa popote walipo haijalishi Mzaramu au Mqureishi na wasio kuwa wao, japo wapo baadhi ya Waislamu (MASUFI) wezua mambo ambayo mtume hajafundisha wao hujengea makaburi,kujengea makaburi katika Uislamu ni haramu na ni madhambi.
 
Kwani sheria za dini ya kiislamu sio sehemu ya utamaduni wao?
Siyo sehemu katika Tamaduni. Kadhalika jifunze maana ya maneno kama vile Tamaduni, Mila,ada na desturi ukijua maana za haya maneno hutaandika tena hiki ulicho kiandika.
 
Kwani sheria za dini ya kiislamu sio sehemu ya utamaduni wao?
Sio utamaduni ni SHERIA.
Ndio maana kuna MILA na DESTURI hapo ndipo kuna UTAMADUNI ndani yake

Pia kuna SHERIA na KANUNI, hizi hazijali UTAMADUNI wako ni UTAZIFATA tu.

Hivyo wao WANATUMIA SHERIA ZA DINI sio UTAMADUNI.

Kwa mfano UTAMADUNI WETU WANYAKYUSA, TUNAPIGA MZIKI MKUBWA SIKU YA MSIBA MPAKA KUZIKWA KWA MPENDWA WETU.

LAKINI UTAMADUNI HUO HAUWEZI KUTUMIKA KWA WAISLAM PAMOJA YA KUWA NI MNYAKYUSA HATA IWEJE. HIVYO TUNASEMA KINACHOTUMIKA NI SHERIA SIO UTAMADUNI.

Nadhani nimekuelewesha.
 
Huyo kiongozi amezikwa kwa mujibu wa dini yake ya Uislamu. Dini inapokuja huwa inatengeneza na kuondoa tamaduni mbaya, na zile tamaduni nzuri huziendeleza.

Hivi ndivyo Waislamu wote hupaswa kuzikwa popote walipo haijalishi Mzaramu au Mqureishi na wasio kuwa wao, japo wapo baadhi ya Waislamu (MASUFI) wezua mambo ambayo mtume hajafundisha wao hujengea makaburi,kujengea makaburi katika Uislamu ni haramu na ni madhambi.
Kujengea sio DHAMBI, ila inashauriwa yasijengewe ili kuweza kupata eneo la kuzika watu wengine.

Usipotoshe watu na usitengeze nafasi ya kuwaona waislam wenzako wamekosea bali toa elimu watu waelewe.
 
Nyie mambwa mmeiga kuvaa masuti kutoka kwa mungu wa italy

Kuvaa vipensi kanisani
Kulewa kanisani
Hamtawazi vizuri mkokojoa hasa wanawake papa zao ninanuka kama mzoga

Uzungu mwingi kama yesu alikuwa mzungu

Angalia viongozi wenu wanavaa kama kanzu na wal masister wanajistiri mpaka vichwa ila nyie mambwa sijui makondoo mnavyotwa hamjielewi dini ya uislamu 90% inaendana na. Tamaduni za kiafrika

Hata magovi bila uislamu usingekuwa mnatahiriwa kama wazungu
HAZKUNA UBISHI KUWA WAISLAM WANEIGA TAMADUNI ZA KIRARABU

TAMADUNI HUWASILISHWA NA VITU VIFUATAVYO

♦️ Lugha........mmeiga lugha ya kiarabu

♦️ Mavazi....... mmeiga mavazi ya kiatabu

♦️ Chakula.......mmeiga vyakula vya kiarabu

♦️ Sheria za kijadi.....mnafuata za kiarabu

♦️ Ngoma za kiasili.....mmeiga ngoma za kiarabu , madudufu mnayopiga kwenye qaswida ni ngoma za jadi za waarabu, na muziki wa taarabu nao ni wao

♦️Mifumo ya kimaisha, shetehe na maziko nayo mmeiga ya waarabu kwani huku bongo kila kabila lina jadi yake ya mazishi, kuna wanaozikwa na ngozi, kuna machifu wanazikwa wamekalia vigoda nk
 
Rejea mfalme Quubus wa Kuwait na yule mfalme wa Saudi Arabia, baba yake Mudi bin Suleiman.
Mapema tu hawakufika hata masaa 12 wakawa washazikwa
Sema ndio hivyo kwasababu ni mtu mkubwa bila shaka amefanyiwa vipimo vyote na kuhakikisha amekufa kweli

Ila huku kimtaa mtaa ukazimia masaa matano usitingishike utajikuta chafya imekubana ukiwa ndani ya kaburi
 
Back
Top Bottom