Mazishi mengine bwana, khaa!

Ukienda Casino umevaa hivi watadhani wewe ndo matron! Kule mbona ni zaidi ya zaidi yote,lol!
Kama una roho nyepesi wewe zunguka vibanda umiza tu
hii kali, siamini kama haya yalikuwa ni mazishi heeh!utafikiri wako casino
 
ama kweli marehemu alikuwa mtu wa watu......
 
Mbona siku hizi budget ya msiba ni tshs 10M? Kupanga ni kuchagua, if you can afford it go for it! Kama ndo vile, unakuwa mpole tu!
dunia inabadilikaa. sasa mazishi yanaanza kuchukua taswira ya burudani!
 
Haya mazishi yanamfaa sana Lusinde na nchemba lol........
 
Watakuwa walienda kumzika MWENZAO na hapo wanamuenzi!
 
aaaaa haya ndo mazishi anayezikwa hapo cjui yy alikuwa anavaaje!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…