Mazishi mengine bwana, khaa!

Mazishi mengine bwana, khaa!

simbachawene angekwenda mazishi haya, hakika si mkono tu ambao ungekatwa, bali na makalio pia yangebabuliwa! chezeiya cha wote weye??
 
Eti hizi ndio nguo za kuvaa msibani, duh!

262944_10151166195913620_1934921434_n.jpg

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Na upande mwingine wana uthubutu wa kuoa tutoto twa miaka 6 na kuvua nguo mbele ya tutoto twa miaka 9. Vipi hapo?

............mkeo unamvulia nguo au unamvalia nguo ? hapo vipi ? tumia akili si masaburi !
 
Mkuu hujajibu swali la Msingi, nataka shape ya jeneza la gynaecologist, i.e Dkt Bingwa wa wanawake.

..............mbona jibu unalo ! kama mvuvi kachongea samaki itashindikana vipi kwa huyo mtaalam ! tatizo mfuniko tu, si unajua pale hapana mfuniko ?
 
Kweli,ila huyo mwenye kichupi cheusi namfahamu anaitwa Zubeda sasa sijui ni wa upande ule wapili?maana jina tuu linamtambulisha ni wa upande wetu bwana Ally Kombo

................jina halimaanishi upande, hayo ni mazoea ! cha msingi utawatambua kwa matendo(mila) na imani (ushirikina)
wamakonde wanamuita mbwa "achani" au "achumani" halafu wenye wanajiita "pedeli" au "chupoku" !
 
wale wa upande wa pili ndio wanaruhusu akina mama msibani !

ahahahahaaaa!
wale waupande uleee wenye maradhi mioyoni mwao, hapo ungeshtukia mtu mzima kaanguka, kiti, kiti, kiti, kiti! Nimepata wahai! daah!
 
............mkeo unamvulia nguo au unamvalia nguo ? hapo vipi ? tumia akili si masaburi !

kitoto umuite mkeo? ukiulizwa kunani ooh weye huoni tonge nyama! zama hizi utaishia segerea ukose baba!
 
kitoto umuite mkeo? ukiulizwa kunani ooh weye huoni tonge nyama! zama hizi utaishia segerea ukose baba!

.....................mtoto hawi mke wewe dwarf ! tumia akili !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom