Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

Sitasahau siku walivunja saa ya mkononi ya baba yangu, akiwa Mwalimu Mkuu, ORIS ya miaka ya 80, wakaisagasaga kama unga, lakini wakamchagua mwanafunzi mmoja nyuma kabisa ya chumba cha mazingaombwe, wakampa mfuko ambao hauna kitu, wakamwambia akoholee kwenye huo mfuko, na katika kukohoa saa ikamtoka mdomoni ikiwa nzima kabisa.
 
Lakini nilisikia kuwa mtu akiingia na mkaa au ndimu kwenye chumba cha maonyesho wanamsitukia na kumfukuza!
PIa ikumbukwe kuwa walikuwa enzi hizo wakija na sanduku la mbao, ambapo kwa wakati huo lilikuwa likionekana la fasheni ya kawaida tu!
 
buche buche puuu
buche buche puu

sheby mwanaprofesa anakuja na uchawi wa dunia, buche buche pu.


Afu mwingine alikuwa anasema. . .

Slowly slowly, please give me 2X

Onyo: mkisoma haya maneno, mnapoteza sehemu zinazowatambulisha kama huyu ni Juma au Asha.
 
Kuna ile ilioko hata ma barabarani una kuna jama alitolewa sehemu za siri ali cha chawa mpaka tuka muonea huruma dah huwaga na shndwa kuelewa wot is dat there.
 
kuna siku walimwita chalii mmoja akaenda yule mwana mazingaombwe akasema nataka niwaonyeshe wachawi wanavofanya kazi basi akamfanyia vitu vyake yule jamaa sasa yule jamaa akawa kama ndo mtu ulie lala usiku zen yule mwana mazngmbw akawa kama mchawi akaanza kumchezea yule jamaa akawa anamkalia yule jamaa ajielewi then baadae akamwita mwanafunz mwingne akamwambia muulize huyo habar za alipokua yule jamaa c akamuuliza mchiz aliepumbazwa dah! alipigwa kibao hicho mpaka damu then mwana mazingaombwe akamuuliza yule jamaa ulikua wapi akasema nilikua TANGA unafanya nn NALIMA....mwingne alifanyiwa mazingaombwe akaanza kunya hela
 
buche buche puuu
buche buche puu

sheby mwanaprofesa anakuja na uchawi wa dunia, buche buche pu.


Afu mwingine alikuwa anasema. . .

Slowly slowly, please give me 2X

Onyo: mkisoma haya maneno, mnapoteza sehemu zinazowatambulisha kama huyu ni Juma au Asha.

teh teh teh konnie wanichekesha axeeh! me nimesoma naona kamekua kabamia axee nikisoma tena c ndo patabadilika kabosa
 
teh teh. Mimi walikuwa wananifurahisha kwa koras zao kabla ya kutoa vitu. Mmoja alikuwa na hii:
'ala shanglaa shanglaaa, shanglaa shanglaa, zheee zheee zhebuubaaa!'
 
buche buche puuu
buche buche puu

sheby mwanaprofesa anakuja na uchawi wa dunia, buche buche pu.


Afu mwingine alikuwa anasema. . .

Slowly slowly, please give me 2X

Onyo: mkisoma haya maneno, mnapoteza sehemu zinazowatambulisha kama huyu ni Juma au Asha.

teh teh teh konnie wanichekesha axeeh! me nimesoma naona kamekua kabamia axee nikisoma tena c ndo patabadilika kabosa
 
buche buche puuu
buche buche puu

sheby mwanaprofesa anakuja na uchawi wa dunia, buche buche pu.


Afu mwingine alikuwa anasema. . .

Slowly slowly, please give me 2x

onyo: Mkisoma haya maneno, mnapoteza sehemu zinazowatambulisha kama huyu ni juma au asha.

Kongosho! Nitake radhi aisee!!
 
Last edited by a moderator:
Sitasahau siku walivunja saa ya mkononi ya baba yangu, akiwa Mwalimu Mkuu, ORIS ya miaka ya 80, wakaisagasaga kama unga, lakini wakamchagua mwanafunzi mmoja nyuma kabisa ya chumba cha mazingaombwe, wakampa mfuko ambao hauna kitu, wakamwambia akoholee kwenye huo mfuko, na katika kukohoa saa ikamtoka mdomoni ikiwa nzima kabisa.


dah...hawa jamaa...saa iliyovunjwa kuwa nzima!
 
teh teh. Mimi walikuwa wananifurahisha kwa koras zao kabla ya kutoa vitu. Mmoja alikuwa na hii:
'ala shanglaa shanglaaa, shanglaa shanglaa, zheee zheee zhebuubaaa!'

tehtehe...walikuwa na vibwagizo...yaani mbwembwe kibao
 
Kuna ile ilioko hata ma barabarani una kuna jama alitolewa sehemu za siri ali cha chawa mpaka tuka muonea huruma dah huwaga na shndwa kuelewa wot is dat there.

tehetehee... sasa waliweza kumrudisha hizo sehemu zake?, na je mlijuaje kuwa kweli zimetolewa?
 
Lakini nilisikia kuwa mtu akiingia na mkaa au ndimu kwenye chumba cha maonyesho wanamsitukia na kumfukuza!
PIa ikumbukwe kuwa walikuwa enzi hizo wakija na sanduku la mbao, ambapo kwa wakati huo lilikuwa likionekana la fasheni ya kawaida tu!

hata kwetu kulikuwa na hizo habari kuwa mtu akiingia na ndimu hawakuweza kufanya lolote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom