BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Naomba nianze kwa kuwapongeza polisi wa Kawe kwa kazi nzuri ya jana mtaani kwetu
Naomba nimpongeze mkuu wa kituo naamini amesaidia hata kufanyika zoezi hili
Mtaani kwetu kuna vijana wanajaa nyumba ya jirani kila asubuhi anawauzia bangi na valium wanaita kwa kobina
Vijana wanapolewa usiku wanaanza kupora kila wanaemwona.
.Sio mara ya kwanza
Baada ya kukupongeza mh nikujulishe tu huyu mzee na mkewe wameshafika hapo mara nne na wakitoka wanasema kabisa wanawaachia polisi 80" 000...
Jambo hili limefikia kuwatisha wananchi basi kumbe hilinzoezi sio jema kama mtu anauza na bangi na mbaya anauza na valium mmezikuta wenyewe jana akikamatwa anatoka......
Aipendezi afikishwe mahakaman hataamaramoja tu...
Tuachane na hayo kuna vijana ambao walikuwa wananunua mo energy/unga kwa dada mmoja dukan ambako inasemekana mlikuta baadhi wakilamba. Monde aka bia aka wanatoa lock saa tano asbh...
Safi kabisa nimependa hii naamini hata wauzaji awataryudia
Sshida wale vijana waliokamatwa wengine wametumwa na nduguzao...,kununua vitu na wawili hata kilevi awakijui
Hata tulipowajulisha. Hao sio wavutabangi wala walevi mlisema tutajua kituoni
Niombe radhi mh mkuu wa kawe
Ndugu zao wameteseka kuwatoa wakililiwa mpaka wawe na mhamala.Unaosomeka
Imeniwia uchungu kukaa na hili nikiamini kama tukikaa kimya ipo siku watatuchukua sisi ama wake zetu wanaoenda madukani kununua vitu
Nashauri baada ya kukamata inapotokea ndugu wa wahusika wanakuja na mnaona kweli mliokamata hawa n safi awakuwa na bia hapo dukan awakuwa wanavuta kilevi naomba askari wako wawachie bila masharti yoyote ili tutimize ulr usemi tunakamata tunachuja wahalifu waendelee kubaki wasafi warudi mtaani..
Wale wanaotumia zoezi kama hili vinginevyo mtuondolee.Kabisa hapo.Kawe yetu
Mwisho tunaomba huyu mzee anaeuzia wahuni hawa bangi na wengine wanatoka kawe wanavutia nyumban kwake kawe mnajua huu n mwaka wa nne anatoka anarudi mnakamata anatoka anarudia apewe funzo kulinda amani ya mtaa
Tumechoka kupigwa ngeta saa moja usiku jamani wenginr tushazeeka kuanza kuonekana.Na.Maalama.Hata unashiñdwa.Kudanganya.Hii n lvebyt ama.Lah
Mungu awatangulie tuwaondoe wahuni wote....Mtaan kwetu
Mmbarikiwe
Naomba nimpongeze mkuu wa kituo naamini amesaidia hata kufanyika zoezi hili
Mtaani kwetu kuna vijana wanajaa nyumba ya jirani kila asubuhi anawauzia bangi na valium wanaita kwa kobina
Vijana wanapolewa usiku wanaanza kupora kila wanaemwona.
.Sio mara ya kwanza
Baada ya kukupongeza mh nikujulishe tu huyu mzee na mkewe wameshafika hapo mara nne na wakitoka wanasema kabisa wanawaachia polisi 80" 000...
Jambo hili limefikia kuwatisha wananchi basi kumbe hilinzoezi sio jema kama mtu anauza na bangi na mbaya anauza na valium mmezikuta wenyewe jana akikamatwa anatoka......
Aipendezi afikishwe mahakaman hataamaramoja tu...
Tuachane na hayo kuna vijana ambao walikuwa wananunua mo energy/unga kwa dada mmoja dukan ambako inasemekana mlikuta baadhi wakilamba. Monde aka bia aka wanatoa lock saa tano asbh...
Safi kabisa nimependa hii naamini hata wauzaji awataryudia
Sshida wale vijana waliokamatwa wengine wametumwa na nduguzao...,kununua vitu na wawili hata kilevi awakijui
Hata tulipowajulisha. Hao sio wavutabangi wala walevi mlisema tutajua kituoni
Niombe radhi mh mkuu wa kawe
Ndugu zao wameteseka kuwatoa wakililiwa mpaka wawe na mhamala.Unaosomeka
Imeniwia uchungu kukaa na hili nikiamini kama tukikaa kimya ipo siku watatuchukua sisi ama wake zetu wanaoenda madukani kununua vitu
Nashauri baada ya kukamata inapotokea ndugu wa wahusika wanakuja na mnaona kweli mliokamata hawa n safi awakuwa na bia hapo dukan awakuwa wanavuta kilevi naomba askari wako wawachie bila masharti yoyote ili tutimize ulr usemi tunakamata tunachuja wahalifu waendelee kubaki wasafi warudi mtaani..
Wale wanaotumia zoezi kama hili vinginevyo mtuondolee.Kabisa hapo.Kawe yetu
Mwisho tunaomba huyu mzee anaeuzia wahuni hawa bangi na wengine wanatoka kawe wanavutia nyumban kwake kawe mnajua huu n mwaka wa nne anatoka anarudi mnakamata anatoka anarudia apewe funzo kulinda amani ya mtaa
Tumechoka kupigwa ngeta saa moja usiku jamani wenginr tushazeeka kuanza kuonekana.Na.Maalama.Hata unashiñdwa.Kudanganya.Hii n lvebyt ama.Lah
Mungu awatangulie tuwaondoe wahuni wote....Mtaan kwetu
Mmbarikiwe