May 2016 bless me with a husband!

May 2016 bless me with a husband!

Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!

Amen! Mungu ni mwaminifu atatupaa ni kuendelea kumuombaa na kuwa waaminifu mbele zake. Ndoa iliyojengwa kwa msingi wake haibomoki kamwe.
 
amen dada

OMBI LANGU TU KWA MUNGUASITOKEE JF UKAJA KUMLALAMIKIA MUNGU..
WAZO LA LEO

Please remember that the festive season is here again for us. Accidents take seconds to happen but suffering lasts a lifetime. Helmets and condoms should be worn on appropriate heads during respective RIDES especially on vehicles that do not belong to you.Tell a friend to tell a friend
 
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!

Mungu ni mwema saana, atakubariki upate.

Usisahau kuja na kuleta mrejesho pamoja na shukrani mbele za bwana
 
Nilipewa mke ambae nadhani nilimpata kutokana na sara zangu kuwa legevu na yeye akawa mwiba, nilikuwa nimejipanga upya kusali vilivyo hili nipatiwe mke wa ukweli ukweli kwa mwaka 2016, naona dalili za maombi yangu kujibiwa zinaonekana.

Peaneni namba na mtoa post muwasiliane
 
utakapopewa mune alotoka kwa mungu usijekutulalamikia hapa.
 
Ombeni mtapewa...,tafuteni mtapata, pigeni hodi mtafunguliwa...
Na iwe kwako kama vile uombavyo!
 
Amen my dear,2015 tulipanda 2016 tukavune,Mungu bariki kazi za mikono yetu,ukatupe kibali mbele ya macho ya watu wako
Merry xmas atoto Heaven Sent everhurt.....

Thanks doll, holiday njema pia.
.May we find favor and grace in the eyes of God and men
.Our families (Mungu ziweke salama)
. Good health, (how I pray tusiumwe hata mafua)
. Peace of mind
. More intelligence, more maturity, more wisdom
. Knowledge and understanding (sijui nimerudia mwee)
.Fear of God
. Hela, Hela, Hela mweee (opportunities)

Kwa neema tu tunaomba yote hayo. Na kwa neema yako ukatupe na baraka za mwilini ambazo unaona ni njema kwetu kwa mwaka 2016

C.c atoto
 
Last edited by a moderator:
Mungu anasikia, na anajibu pia kwa wakati wake!!! Zidi kuomba naye atajibu
 
Thanks doll, holiday njema pia.
.May we find favor and grace in the eyes of God and men
.Our families (Mungu ziweke salama)
. Good health, (how I pray tusiumwe hata mafua)
. Peace of mind
. More intelligence, more maturity, more wisdom
. Knowledge and understanding (sijui nimerudia mwee)
.Fear of God
. Hela, Hela, Hela mweee

Kwa neema tu tunaomba yote hayo. Na kwa neema yako ukatupe na baraka za mwilini ambazo unaona ni njema kwetu kwa mwaka 2016

C.c atoto

Amen dear....
 
Last edited by a moderator:
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!

Na akuepushe na wapigaji ambao wanawaza kuharibu watoto na dada za watu kwa jina la yesu
 
Thanks doll, holiday njema pia.
.May we find favor and grace in the eyes of God and men
.Our families (Mungu ziweke salama)
. Good health, (how I pray tusiumwe hata mafua)
. Peace of mind
. More intelligence, more maturity, more wisdom
. Knowledge and understanding (sijui nimerudia mwee)
.Fear of God
. Hela, Hela, Hela mweee

Kwa neema tu tunaomba yote hayo. Na kwa neema yako ukatupe na baraka za mwilini ambazo unaona ni njema kwetu kwa mwaka 2016

C.c atoto

Aimeeeeen swetheart
 
Last edited by a moderator:
Hahah, once again its you
Nishirikishe ulichoelewa sababu am sure dots zako kuna sehemu zinagoma hivyo unajielewesha vitu tofauti na uhalisia....

Hata nami nasubiri jibu
 
Back
Top Bottom