May 2016 bless me with a husband!

May 2016 bless me with a husband!

Bado Sihitaji ndoa, sihitaji mapenzi, sihitaji mpenzi wala Mahusiano.. Nafurahia Maisha ninayoishi na kila siku nafurahi na kuomba niendelee kuwa single mpaka 2020

We si mpenzi wako alikua arabun au nakufananisha??
 
Yaani hii thread imekuwa kama yale makanisa ya kisanii...Mchungaji akisema wanaotaka ndoa wapite mbele............
 
Wanaume tunapostpon kuoa wanawake mnakimbilia kuolewa.
Mwanamke jenga.jiendeleze usimsubiri mume ikiwezekana kama muda umeenda tafuta mtoto.
Mbona wanaume tuna jenga tunazaa na tunaenjoy life bila kuoa.cjui nan kawaroga ndoa ina sheria zinazombana mtu kwann mwapenda kujibana.
Example. Kila saa 4 usiku uriport kwa mke/mume.

Ushauri wa nguvu za giza. Yule Muovu! Shetani! Na kashakuteka.
 
Mwaka ujao swala la kutafuta mke nitaliweka pending kidogo maana ngoja nitafakari ya mwaka huu kisha nianze kwa kufikiria kutimiza malengo yangu kwanza vingine hivo vya mke vitanikutia njiani
 
Hivi ndoa dili kumbe? Wengine ni natural loners. We can preservere very well bila kubanana na mtu. Sijui itakuwaje!
 
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!
Njoo PM kwanza
 
Back
Top Bottom