May 2016 bless me with a husband!

May 2016 bless me with a husband!

Hahah kuumizwa kupo mshenga mie pia binadamu natumia moyo sio battery....
Mimi na atoto hatulilii ndoa,ndio maana atoto wangu yupo busy na pesa mimi niko busy na mambo yangu sitaki maumivu 2016
Something doesn't add up mshenga, fungukeni tu msifiche bwana...! BTW, ndoa ni kitu chema sana...
 
Last edited by a moderator:
Something doesn't add up mshenga, fungukeni tu msifiche bwana...! BTW, ndoa ni kitu chema sana...

Acha ufukunyuku wewe, kilicho chema kwako hakiwezi kuwa chema kwa kila mtu, ila usininukuu vibaya tu.
 
Acha ufukunyuku wewe, kilicho chema kwako hakiwezi kuwa chema kwa kila mtu, ila usininukuu vibaya tu.
Ninachoona ni chema kwangu, namshauri na mwenzangu akifanye, hakuna ubaya katika ushauri..
After all, ushauri sio amri!!
 
Mimi moyo wangu wa baridi kabisa kwa hawa viumbe....

Yan brenda wangu hawa viumbe wa mungu ili uweze kuishi nao kwanza wape asilimia kidogo sana kwenye moyo inayobaki jipenge mwenyewe upendeze zako na kufanya kila kitu unachopenda wao wawepo tu,mimi kwa matukio yao mmh sina hamu nao
 
Wanaume tunapostpon kuoa wanawake mnakimbilia kuolewa.
Mwanamke jenga.jiendeleze usimsubiri mume ikiwezekana kama muda umeenda tafuta mtoto.
Mbona wanaume tuna jenga tunazaa na tunaenjoy life bila kuoa.cjui nan kawaroga ndoa ina sheria zinazombana mtu kwann mwapenda kujibana.
Example. Kila saa 4 usiku uriport kwa mke/mume.

We kweli zembwera...! Baba na mama ako walikuwa hivyo???
 
We kweli zembwera...! Baba na mama ako walikuwa hivyo
Hehe kwan baba na mama lazima waoane punguza kukariri.
M ninamtoto na sina mpango wa kuoa.
Na ninaenjoy life kama kawa .
 
Yani sina hamu na majanamke!Lilivonitenda moja,anyway nitajitahidi nioe hata kwa ghafla sn.
 
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!

Duh!!bahati ilioje!jana usiku nilioteshwa nitapata mke hapa jf.kumbe ni wewe?nina furaha kubwd sana.
 
In jesus name!bwana amesikia kilio chako mpendwa tarajia haja ya moyo wako kabla ya mwezi wa sita 2016,atatenda muujiza kwako.
 
Back
Top Bottom