Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,349
- 176,145
wewe katafute hela.......
Hahaaaaa!! Ngoja niwahi
wewe katafute hela.......
Zitafute kwa bidii, kwani zinakuja tu kama manna toka mbingun?..teh!!Oooh Lord bless me with more more more more money
You guys never get hurt, champions of love and dating, no heartache or whatsoever!!Ex darling what are you trying to insinuate??
Zitafute kwa bidii, kwani zinakuja tu kama manna toka mbingun?..teh!!
Something doesn't add up mshenga, fungukeni tu msifiche bwana...! BTW, ndoa ni kitu chema sana...Hahah kuumizwa kupo mshenga mie pia binadamu natumia moyo sio battery....
Mimi na atoto hatulilii ndoa,ndio maana atoto wangu yupo busy na pesa mimi niko busy na mambo yangu sitaki maumivu 2016
Labda wazisubiri tu, si umemuomba Mungu uwe na pesa!!Wapi nimesema nimekaa tu nazisubiri?
Something doesn't add up mshenga, fungukeni tu msifiche bwana...! BTW, ndoa ni kitu chema sana...
Ni kweli mkuu, lakini life la mtandaoni nalo si la kuamini sana..Tungejua historia hizi tusingepata shida kuwaelewa kumbe!
Labda wazisubiri tu, si umemuomba Mungu uwe na pesa!!
Ninachoona ni chema kwangu, namshauri na mwenzangu akifanye, hakuna ubaya katika ushauri..Acha ufukunyuku wewe, kilicho chema kwako hakiwezi kuwa chema kwa kila mtu, ila usininukuu vibaya tu.
Simuombi Mungu niwe na pesa nafanya kazi niwe na pesa!!Kwahiyo wewe kila umuombacho Mungu huwa unakaa tu unasubiri akuletee??
Simuombi Mungu niwe na pesa nafanya kazi niwe na pesa!!
Something doesn't add up mshenga, fungukeni tu msifiche bwana...! BTW, ndoa ni kitu chema sana...
Mimi moyo wangu wa baridi kabisa kwa hawa viumbe....
Wanaume tunapostpon kuoa wanawake mnakimbilia kuolewa.
Mwanamke jenga.jiendeleze usimsubiri mume ikiwezekana kama muda umeenda tafuta mtoto.
Mbona wanaume tuna jenga tunazaa na tunaenjoy life bila kuoa.cjui nan kawaroga ndoa ina sheria zinazombana mtu kwann mwapenda kujibana.
Example. Kila saa 4 usiku uriport kwa mke/mume.
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!