Siwezi kukujibu sababu najua sio kosa lako...ni uelewa tuu mdogo labda unakusumbua..merry xmass though
Yaa!Dadangu mungu akubariki na akujaalia upate mume mwema..endelea kuomba sana wala usikate tamaa mungu anakuona
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!
Mimi Mungu niepushe na maumivu ya moyo....eeeh ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke 2016
Hahahaaa yaelekea hutaki kuolewa kabisa
Yan brenda wangu hawa viumbe wa mungu ili uweze kuishi nao kwanza wape asilimia kidogo sana kwenye moyo inayobaki jipenge mwenyewe upendeze zako na kufanya kila kitu unachopenda wao wawepo tu,mimi kwa matukio yao mmh sina hamu nao
Mimi Mungu niepushe na maumivu ya moyo....eeeh ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke 2016
Tafuta neema ya Mungu kwanza, Mume atakuja tuAmen Mungu atuepushie
Hata mimi namuomba sana mungu nipate mke aliye bora sana atakae nisaidia kimawazo kuijenga familia bora yenye amani na furaha.
mi naomba tu anibariki nipate mahela