lemidius mbalwohi
Senior Member
- Jun 17, 2015
- 102
- 21
Dada angu mm naungana na ww ktk maombi kwa kumuomba Mungu ili aweze kukutimilizia yale yote unayoyatamani, Naye Bwana asema,``Niite nami nitaitika" Na pia asema ``Wakusanyikapo wawili au zaidi nami huwa ktkati yao" Tuko pamoja dadaangu katika maombi.