Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,126
- 725
Inasikitisha sana. Mpaka machozi yanatoka jamani. Amen.
HAKUNA anayehtaji pole yako ya kinafiki.
Post zake zote zinaonyesha furaha ilivyo kubwa upande wake. Tangu nimemshambulia na kukushukru wewe kwa utu kakaa kimya.
We umejuaje kuwa Coco anafurahishwa na yaliyompata huyo Lissu wenu?
Hawezi kukuelewa huyo!! Anaamini ktk ukabilaMkuu maneno yako "lisu wenu" yanaonyesha dhahiri umeshachukua upande. Katika hili jambo la matatizo usifanye hivyo mkuu! Tafadhali sana utu ni jambo la bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa sawa banaHAKUNA anayehtaji pole yako ya kinafiki.
ACHA nikae KIMYA...!
Tunalia wote pamoja Mkuu.Nalia machozi yanatiririka Mungu tusaidie na adui Mwovu
Huyu ndo boss anayekufanya utambe jf lazima awe vizuri kujielezaHuyu jamaa anajua sana kujieleza...