It's not hope, we should demand it. This the time we are required to be united .hope so
Tumeingia mtego wa Rwanda bila kujielewa!!
Hata wewe!! Basi Mungu mwema asikie kilio chako.Get well soon TL
Mkuu maneno yako "lisu wenu" yanaonyesha dhahiri umeshachukua upande. Katika hili jambo la matatizo usifanye hivyo mkuu! Tafadhali sana utu ni jambo la bure.
We umejuaje kuwa Coco anafurahishwa na yaliyompata huyo Lissu wenu?
Hata Mimi najua kama amefurahi fuatilia alichochangia baada ya tukio hili
We umejuaje kuwa Coco anafurahishwa na yaliyompata huyo Lissu wenu?