britanicca
Platinum Member
- May 20, 2015
- 18,063
- 47,048
Huyu ni mtu aliyetuanzishia forum hii na kufanya vema kama ilivyokuwa wikileaks ya majuu, hii tunaitambua JF kama Swahili Wikileaks,
Kwa haraka haraka huwezi ona umuhimu wake mpaka pale inapizimwa zimwa serikali ndo unahisi kumiss jambo muhim na la msimgi,
Mara zote namuangalia huyu mtu kama mtu anayeona mbele sana , anaona mbele sana kabla ya muda kufika aliona kwamba kuna mda tutataka kukosoa yaliyojificha ndani ya sserikali n.a. akaanzisha Swahili Wikileaks
Pongezi kwako Mr Maxence Melo
Kwa haraka haraka huwezi ona umuhimu wake mpaka pale inapizimwa zimwa serikali ndo unahisi kumiss jambo muhim na la msimgi,
Mara zote namuangalia huyu mtu kama mtu anayeona mbele sana , anaona mbele sana kabla ya muda kufika aliona kwamba kuna mda tutataka kukosoa yaliyojificha ndani ya sserikali n.a. akaanzisha Swahili Wikileaks
Pongezi kwako Mr Maxence Melo