Mawifi jamani, hivi wana nini?

Mawifi jamani, hivi wana nini?

Hahahaha! Bwashee unaua. ChaWote pana mkesha, siyo?
ChaWote hapadanganyi!ngoma sio ya kitoto ile,ndio maana mi nilikimbia jana.maanake ningeharibu Bwa-Shee.hehehehehe
 
Kale katripu kameota mbawa?

naondoka hapa saa nne hivi.kwa sasa naweka vitu fresh ofisini,dhen naenda kununua ''sick-shiti'' maanake ni mambo yangu pesono bwa-shee.nikishawapa sikishiti,nitawapigia jamaa waje wanipick tuanze mwendo kuelekea mjengoni dom
 
hivi bwa shee umestukia kitu humu jamvini kwamba kuna ubaguzi?
 
Kati yetu na wabeba mabox au? Jana mkuu nguli alianzisha vita humu ndani.
hilo ni jibu sahihi!hawa jamaa wamejitenga na wana thredi zao sasa hivi.lakini mimi nafurahi kwamba wamepewa dozi,ai mini ukweli.kujitenga kwao ni swala la muda tu.maanake nimepitia thread moja nimekuta wapo wenyewe tu.
 
hilo ni jibu sahihi!hawa jamaa wamejitenga na wana thredi zao sasa hivi.lakini mimi nafurahi kwamba wamepewa dozi,ai mini ukweli.kujitenga kwao ni swala la muda tu.maanake nimepitia thread moja nimekuta wapo wenyewe tu.

Hilo halitusumbui. Sisi tunaendelea kuchapa mwendo. Thread gani hiyo nikawachape dozi ndogondogo?
 
naona mzawa ndani ya nyumba:hehehehe

Fidel80
user_offline.gif

Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png

Fidel80
user_offline.gif

Fidel80 > Muosha huoshwa
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
 
Hilo halitusumbui. Sisi tunaendelea kuchapa mwendo. Thread gani hiyo nikawachape dozi ndogondogo?

kuna thread ya kevini twista,na thredi ya hotuba za mwalimu zitumike mashuleni.wanajiongopea.nadhani wameingilia mlango wa kutokea
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno. Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.

habari za mawifi achana nazo pretty we omba mungu akupe mme mwema tu wa kuelewa na kupambanua mambo
la ndoa utaiona chungu mawifi wakianza na mzee akawa upande wao

Mie mwenzio nikipiga goti nasikia maumivu ingawa kabila langu shurti upige goti ...huyo wifi yako anaijua adabu🙂
 
kuna thread ya kevini twista,na thredi ya hotuba za mwalimu zitumike mashuleni.wanajiongopea.nadhani wameingilia mlango wa kutokea

Ya Kevin Twisa hiyo tangu jana. Mpwa Nguli aliwasokomezea kombora. Ngoja nichungulie hiyo nyingine
 
Habari zenu wanaJF,
Hivi mawifi wana nini lakini? Natarajia kujitosa kwenye ndoa, lakini wifi ananiletea vituko mapema kabla ya kufika huko. Mama mkwe wangu ananipenda lakini wifi yangu maneno maneno. Ana kazi na familia yake lakini bado tuu ananisema, eti anataka nimpigie magoti ninapomsalimia, anawaambia watu kaka yake anaoa binti wa mjini hawana heshima.
Hivi unapomsalimia mtu ukimpigia goti ndio heshima?Wadada mliolewa hebu nipeni mbinu za kumdhibiti huyu wifi.
Mawifi wasikupe presha Pretty, we hakikisha uko page moja na mumeo tu mengine yote watajikuta wanapoteza muda. cha msingi usiwe nao close saaana, watapata muda wa kukuchimba na kuanzisha vijineno. we kuwa busy na life yako yani mkionana ni kwa ishu muhimu then unasepa. hiyo tu ndo siri ya kudeal nao, ukiwaendekeza ndoa itakushinda.
 
Mawifi wasikupe presha Pretty, we hakikisha uko page moja na mumeo tu mengine yote watajikuta wanapoteza muda. cha msingi usiwe nao close saaana, watapata muda wa kukuchimba na kuanzisha vijineno. we kuwa busy na life yako yani mkionana ni kwa ishu muhimu then unasepa. hiyo tu ndo siri ya kudeal nao, ukiwaendekeza ndoa itakushinda.

Carmel darling, habari ya asubuhi? Nimekumisi vibaya mno.
 
Mawifi wasikupe presha Pretty, we hakikisha uko page moja na mumeo tu mengine yote watajikuta wanapoteza muda. cha msingi usiwe nao close saaana,.

Hata kama wewe wifi yao kimeo wabaki kimyaa unamwangamiza kaka yao vp bana? Damu nzito kuliko maji ukiwa kimeo utanyooshewa kidole na mawifi mpaka utakapo jirekebisha ebo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom