Mawifi jamani, hivi wana nini?

Mawifi jamani, hivi wana nini?

hehehe!wasukuma wana kitu kimoja kizuri sana na spesho wanawake wanakifurahia.WASUKUMA WANAJUA KUPENDA,WANAJUA KUKEA!na hamna mwanaume anakufa vibaya kwa mwanamke kama msukuma

Hasahasa kama mwanamke mwenyewe akiwa white. Pretty. Msukuma anasukuma nini kwelikweli? We mtoto hujatulia, hebu mjaribu siku moja mpwa wangu uone kama utaitamani tena harufu ya lake Victoria.
 
lakini katika kosa kubwa ambalo wanaume wanalifanya ni KUFA VIBAYA KWA MWANAMKE!...............
 
nawafahamu sana.shemeji zangu hao.wananipigia dada angu

Hahaha! Wananilipizia siyo. Kwa hiyo mi ntawaitaje wasukuma? Manake wanampigia shemeji yangu. Hivi mtu anayempigia shemeji yako unamwitaje?
 
Hahaha! Wananilipizia siyo. Kwa hiyo mi ntawaitaje wasukuma? Manake wanampigia shemeji yangu. Hivi mtu anayempigia shemeji yako unamwitaje?

hahahahahahahahahah!mkuu umenimaliza.hawa watakuwa kaka zako sasa!
 
lakini katika kosa kubwa ambalo wanaume wanalifanya ni KUFA VIBAYA KWA MWANAMKE!...............

Geoff hilo wala si kosa, ni kupenda. Raha ya kupenda ufe kwa mwanamke.
 
HEHEHEHE!nimecheka hadi nimelia!..........nini maana ya kuwa wawili sasa?

Nilifikiri kupiga ya kudundwa, kama ulimaanisha nanihiiiiiiiiiii hiyo must.
 
Nilifikiri kupiga ya kudundwa, kama ulimaanisha nanihiiiiiiiiiii hiyo must.

kwa hiyo jamaa vipi,ANAKUPIGA VIZURI SANA?ai mini ukilinganisha na ma-bf wako wa zamani?
 
ndo maanake bwa-shee!hehehehe.mweleweshe pretty maana halisi ya kupiga

Ngoja mpwa aamke. Ataeleweshwa vizuri na kwa ufasaha zaidi. Ikibidi hata kwa vitendo.
 
Au alishakutana na mpwa wetu akaipata habari yake? Ngoja aamke.

hehehehehehe!mpwa naye hajambo kwenye huu mlengo anatisha.ngoja aamke.nadhani mida hii ndo anarudi kutoka baa anaenda home kuoga dheni anakabiliana na mikiki mikiki ya foleni
 
hehehehehehe!mpwa naye hajambo kwenye huu mlengo anatisha.ngoja aamke.nadhani mida hii ndo anarudi kutoka baa anaenda home kuoga dheni anakabiliana na mikiki mikiki ya foleni

Hahahaha! Bwashee unaua. ChaWote pana mkesha, siyo?
 
kwa hiyo jamaa vipi,ANAKUPIGA VIZURI SANA?ai mini ukilinganisha na ma-bf wako wa zamani?

Nitarudi kukujibu, hebu ngoja nifanye reference kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom