Mawazo yenu wakuu

Mawazo yenu wakuu

😁😁😁,katoa mawazo na sie tunampa mawazo,ayapokee😁,Kila mmoja akiweka shida zake hapa mbona tutakimbiana🤣🤣
Daslam kama daslam haitaki ujana bila ujanja ikishindikana rudisha mpira kwa kipa kwanza
 
Et hayo si maajabu Yan upige pass ndefu wiki mfulurizo arf uendelee kupanga kwenye nyumba za kishua😂😂

Ambazo wanahitaji upike kwa ges, heater multi cooker nk

Kwanza Kodi ya nyumba kama hyo sio ya kitoto
Huyu anatafuta kufirwa tu, hana lolote. Eti nyumba wanakataza kupikia jiko la mkaa na pesa ya bando anayo ya kuingia JF kujibu message. Haya kwa wale wapenda vinyeo mzigo ndio huo mshindwe wenyewe. Mie na vinyeo Never, nasikia kinyaa tena kwa li dume ndio kabisa. Wenye vijisenti changamkieni mzigo huo.
 
Back
Top Bottom