ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 3,540
- 5,116
Kwaiyo unashinda na njaa kisa sehemu uliyopo hairuhusu mkaa.! Eti 😎Ninashukuru kwa ushauri
hapa nilipo hawaruhusu jiko la mkaa
Nimekuwa natumia gesi, hata jiko la mkaa sina kutokana na masharti ya wenye nyumba
Na unataka wadau wafunge mkono kwa huzuni kubwa ya simulizi
Mdogo wangu JF sio Fb Ukiona expert member anakujibu zingatia unachojibu acha maigizo