Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,873
- 147,350
Lazima azungukeš,sasa mbona kazunguka sana,, enweii naamini atapata
Lazima azungukeš,sasa mbona kazunguka sana,, enweii naamini atapata
Kijana wa daslamu
utaambiwa tapeli ndio maana nimekaribisha vyote.sasa mbona kazunguka sana,, enweii naamini atapata
Akusamehe kwa kosa lipi! Kwamba alitegemea akileta uzi wote tutaanza na unafki wa pole utapata tu bila kumsaidia? Lazima tumweleze hali halisi asifikiri jua linamuwakia yeye tu! Hali ni tete kila kona watu wanafanya vibarua huko nje hawashindi mtandaoni kuombaomba!We acha tu,huyu kazoea nyuzi zake ni za kuomba tokeapo,mleta mada nisamehe tuš,ukweli lazima usemwe,
Vijana wamesoma na Wana vyeti vyao,lkn wapo mtaani wanapambana.
Angeomba michongo aache usenge!Ndio maana wanafirwa hawa, jitu lina simu janja, lina uwezo wa kuingia JF na kutuma huu upuuzi lakini bado linatafuta msaada..Ndio maana nchi ina watu milioni 60 lakini milioni 50 ni wapuuzi kama huyu. Badala ya kuingia kuchakarika huko shambani lipo huku kutafuta kitonga.
MATAKO YAKE. š š š š š š
Asione kama tunamuharibiaš,aisee hii June ada,kodi nk,watoto likizo ikiisha waende shule, mambo ni mengi,Kila mmoja anapambana ki vyake.Akusamehe kwa kosa lipi! Kwamba alitegemea akileta uzi wote tutaanza na unafki wa pole utapata tu bila kumsaidia? Lazima tumweleze hali halisi asifikiri jua linamuwakia yeye tu! Hali ni tete kila kona watu wanafanya vibarua huko nje hawashindi mtandaoni kuombaomba!
Mpaka hapo ww unaishi maisha ya kishua hauna haja ya kuomba msaadaNinashukuru kwa ushauri
hapa nilipo hawaruhusu jiko la mkaa
Nimekuwa natumia gesi, hata jiko la mkaa sina kutokana na masharti ya wenye nyumba
Tunamuharibia kuombaomba? Atakuwa mjinga kiasi chake! Maisha ya watanzania wengi hayapishani sana! Ajikite kwenye vibarua vipo kibao tu!Asione kama tunamuharibiaš,aisee hii June ada,kodi nk,watoto likizo ikiisha waende shule, mambo ni mengi,Kila mmoja anapambana ki vyake.
Mtagi uzi wako wa tenda na ajiraTunamuharibia kuombaomba? Atakuwa mjinga kiasi chake! Maisha ya watanzania wengi hayapishani sana! Ajikite kwenye vibarua vipo kibao tu!
Hawaruhusu mkaa,šMpaka hapo ww unaishi maisha ya kishua hauna haja ya kuomba msaada
Angekuwa serious angeshauoata mbona wenzie sijawatag?M
Mtagi uzi wako wa tenda na ajira
Mtoto junior hayo maisha hayawezi mbonaAngekuwa serious angeshauoata mbona wenzie sijawatag?
Nilipona mkuu wangu kwa kupitia watu wema humu ndani, hakika sitasahau wema wao, nawakumbuka kwenye maombi yangu šš¾Kijana ulipona mjegeje lakini
Haya aendelee kuwa juniya falafala sasa!Mtoto junior hayo maisha hayawezi mbona
Sana,apambane tuš,Kuna siku ni kitambo,nilikuwa naongeaa na simu na mtu nikasema naomba vochašš,mama akasikia,eeh ananiambia sijazaa ombaomba,,hii kauli naishi nayo daimašTunamuharibia kuombaomba? Atakuwa mjinga kiasi chake! Maisha ya watanzania wengi hayapishani sana! Ajikite kwenye vibarua vipo kibao tu!
Mama mzuri sana huyu, fuata hizo nyayo uokoe kizazi chako cha baadae! Yani mimi mwanangu aniombe kila kitu mwenyewe kuepusha aibu za nje huko mwisho aishie kubaya kisa kujiendekeza upuuzi!Sana,apambane tuš,Kuna siku ni kitambo,nilikuwa naongeaa na simu na mtu nikasema naomba vochašš,mama akasikia,eeh ananiambia sijazaa ombaomba,,hii kauli naishi nayo daimaš
Sana,haya maisha ukiweza kujitafuta ata kama ukipata 100 ya kwako ni raha sana,unaenjoy.Mama mzuri sana huyu, fuata hizo nyayo uokoe kizazi chako cha baadae! Yani mimi mwanangu aniombe kila kitu mwenyewe kuepusha aibu za nje huko mwisho aishie kubaya kisa kujiendekeza upuuzi!
Et hayo si maajabu Yan upige pass ndefu wiki mfulurizo arf uendelee kupanga kwenye nyumba za kishuaššHawaruhusu mkaa,š
Acha basSana,haya maisha ukiweza kujitafuta ata kama ukipata 100 ya kwako ni raha sana,unaenjoy.