Mawazo yenu wakuu

Mawazo yenu wakuu

Unaweza nifananulia hili suala?
Nifafanue nini tena? wewe si ulisema huamini kama watu wanaweza kukurudisha nyuma isije ikakupelekea ukaenda kwa mganga? na me nikajibu Hilo lipo hata kama huamini uamuzi ni wako katika ufumbuzi na sio lazima uende kwa mganga.
 
Dah Pole, ningekutumia hata 5000 ila hamchelewi kwenda kubetia 🤔
Umenikumbusha leo alfajiri natoka naenda kwenye mishe zangu nakutana na dogo mmoja anataka nimlipie nauli anaenda bagamoyo hana nauli, sikutaka hata kujua nikamjibu sawa subiri tupate change, baadae nikamuuliza inakuwaje huna nauli? Ooh siunajua tena sister sisi vijana nimetumia pesa yote mpaka nauli, lilivyo jinga linaniuliza si unapajua kitambaa au unapasikia tu? Yani nimecheza kamali pesa yote sina hata nauli dadaangu!

Nikamwambia unaishi wapi ss saa 11 kasoro hii unaenda nyumbani au? Eti ndio kwahiyo katoka Bagamoyo kuja kucheza kamali! Basi wakati nampatia anasema yani na hili baridi naenda kulala mwenyewe ningekuwa hata na mtu, nikamwambia hivi ww uko sawa kweli huna nauli lakini unawaza kulala na mtu! Eti hapana nasema tu siunajua tena! Bora wewe una mafuta mafuta husikii baridi! Nikamwambia kuwa makini sana kama hii ndio tabia yako ukikwama kidogo unaombaomba barabarani litakukuta jambo! Sidhani kama unakosa mtu wa kumuomba kwenye simu yako ukiendekeza hii ni hatari kwako!
 
Unataka mawazo yapi?
Namna ya kupata fedha
Namna ya kulala njaa pasina tumbo kutahamaki
Namna ya kujaza mtungi ili uendelee kukopa kwa mangi
Au namna ya kupata kazi ya kukuwezesha kumudu gharama za maisha
1D8DF017-21EC-451B-98DB-B46F48B036CC.jpeg
 
Umenikumbusha leo alfajiri natoka naenda kwenye mishe zangu nakutana na dogo mmoja anataka nimlipie nauli anaenda bagamoyo hana nauli, sikutaka hata kujua nikamjibu sawa subiri tupate change, baadae nikamuuliza inakuwaje huna nauli? Ooh siunajua tena sister sisi vijana nimetumia pesa yote mpaka nauli, lilivyo jinga linaniuliza si unapajua kitambaa au unapasikia tu? Yani nimecheza kamali pesa yote sina hata nauli dadaangu!

Nikamwambia unaishi wapi ss saa 11 kasoro hii unaenda nyumbani au? Eti ndio kwahiyo katoka Bagamoyo kuja kucheza kamali! Basi wakati nampatia anasema yani na hili baridi naenda kulala mwenyewe ningekuwa hata na mtu, nikamwambia hivi ww uko sawa kweli huna nauli lakini unawaza kulala na mtu! Eti hapana nasema tu siunajua tena! Bora wewe una mafuta mafuta husikii baridi! Nikamwambia kuwa makini sana kama hii ndio tabia yako ukikwama kidogo unaombaomba barabarani litakukuta jambo! Sidhani kama unakosa mtu wa kumuomba kwenye simu yako ukiendekeza hii ni hatari kwako!
Umenena,hii omba omba nayo ni mtihani,,siku unakosa msaada unaanza kuona watu wabaya.
 
Nifafanue nini tena? wewe si ulisema huamini kama watu wanaweza kukurudisha nyuma isije ikakupelekea ukaenda kwa mganga? na me nikajibu Hilo lipo hata kama huamini uamuzi ni wako katika ufumbuzi na sio lazima uende kwa mganga.
Nahitaji kujua ni wakati gani unatofautisha ugumu wa maisha kama ni mkono wa mtu au sio mkono wa mtu... maana duuh
 
Sana,hasa kama mtu una afya yako njema,ni Bora kujipambania mwenyewe

Afya ndio mtaji.
Tena wa kiume! Jana nimekutana na kijana anauza madafu sinza, nikamuuliza anaishi wapi akasema vingunguti! Nikamuuliza anarudi vipi nyumbani akasema kwa baiskeli na sio mbali kashazoea! Huyu mtu katoka kigoma kaja kupambana bila kujiangalia ataonekanaje, huwezi ukakuta kanunua simu aanze kuomba mitandaoni! Kwanza kijana mpaka kuifahamu jf uizoee ghafla na kutaka misaada ni ujasiri mkubwa sana!
 
Tena wa kiume! Jana nimekutana na kijana anauza madafu sinza, nikamuuliza anaishi wapi akasema vingunguti! Nikamuuliza anarudi vipi nyumbani akasema kwa baiskeli na sio mbali kashazoea! Huyu mtu katoka kigoma kaja kupambana bila kujiangalia ataonekanaje, huwezi ukakuta kanunua simu aanze kuomba mitandaoni! Kwanza kijana mpaka kuifahamu jf uizoee ghafla na kutaka misaada ni ujasiri mkubwa sana!
We acha tu,huyu kazoea nyuzi zake ni za kuomba tokeapo,mleta mada nisamehe tu😁,ukweli lazima usemwe,

Vijana wamesoma na Wana vyeti vyao,lkn wapo mtaani wanapambana.
 
Sana,hasa kama mtu una afya yako njema,ni Bora kujipambania mwenyewe

Afya ndio mtaji.
Ndio maana wanafirwa hawa, jitu lina simu janja, lina uwezo wa kuingia JF na kutuma huu upuuzi lakini bado linatafuta msaada..Ndio maana nchi ina watu milioni 60 lakini milioni 50 ni wapuuzi kama huyu. Badala ya kuingia kuchakarika huko shambani lipo huku kutafuta kitonga.
MATAKO YAKE. 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
N
Ndio maana wanafirwa hawa, jitu lina simu janja, lina uwezo wa kuingia JF na kutuma huu upuuzi lakini bado linatafuta msaada..Ndio maana nchi ina watu milioni 60 lakini milioni 20 ndio kama huli lipuuzi lipo mtandaoni kuomba pesa za bure badala ya kuchakarika huko shambani.
MATAKO YAKE. 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mpeni.
 
Back
Top Bottom