Mimtamu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 368
- 105
Nimekutana na mawazo mengi ya wanajamii wa tz hasa wale waliokata tamaa ktk mambo fulani. Pata picha kama Mungu angesikia vilio vyao. Kuna hii hapa: Bora ningezaliwa Mbwa ulaya kuliko kuwa mtu bongo.. we umekutana na zipi?
Au mtu anawaza kuwa Mungu katokana na nini?
Au mtu anawaza kuwa Mungu katokana na nini?