Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Wazili mwenyewe inawezekana akawa feki...........Maana pengine anayemdhania kuwa ni baba yake, naye siye. Hata huyo mama yake amemnunu kwa nesi hospitali akiwa mchanga.........WC, Hii nchi ngumu sana...
Tumeshaona wasomi feki
Bidhaa kibao feki
mikataba feki
kesi feki
dhamana feki
Raia feki
ahadi feki
Mitihani feki
Sasa subiri utasikia
Mashtaka feki
makaripio feki [kutoka kwa mkuu]
ahadi feki
sijui tumebakiza nini tena feki
Kenya ni nchi ya kitu kidogo... Tanzania iwe nchi ya mafeki tu!
Unanunua cheti feki........... Mchine iliyotengeneza hicho cheti nayo ni feki.........
Nafasi ya uwazili umepewa kwa documents feki..................
Naibu waziri wako naye ana vyeti feki..................
Unapelekwa mahakamani nako jaji ana vyeti feki.....................
Polisi aliyekukamata ana vyeti feki vya CCP Moshi.................
Askali magereza anayekulinda huko gerezani ana vyeti feki vya pale Ruanda magereza mbeya.....................
Unapelekwa mahakamani kwa hati feki...................
Upelelezi unacheleweshwa ili utengenezwe ushahidi feki....................
Kesi yenyewe ni feki, yaani umebambikiwa....................
Mahakama imejengwa na mkandarasi feki.........................
Unafungwa kifeki feki tuuuuuuuu.....................
Yaani kila kitu feki.........................
..............feki.....feki .........feki ..........
Hao inabidi wapelekwe mahakamani feki ili wakashindwe kutaja hata monita au classmates wao..........