Mawaziri wangu watano bora serikali ya Mama Samia

Mawaziri wangu watano bora serikali ya Mama Samia

Nauza Akili

Member
Joined
Oct 14, 2024
Posts
37
Reaction score
107
Tunapoelekea uchaguzi Mkuu na kuvunja bunge na serikali,hawa ndio mawaziri wangu bora,ukimtoa Waziri Mkuu mzee wetu Meja.

1. Juma Aweso waziri wa maji haitaji kuelezewa sana kazi yake inaonekana.
2. Innocent Bashungwa huyu ni kiraka anafit wizara yoyote utakayompa he's very Giniasi
3. Dotto Biteko licha ya kuwa ni msanii msanii sana (janja janja) ila kazi anapiga sana kijana wa watu apewe maua yake.
4. Dkt. Pindi Chana huyu maza hana mambo mengi wala makelele ila anapiga sana kazi.
5. Adolf Mkenda, he's a visionary man nikisema hivi nadhani inatosha sana.
NB: Waziri Mkuu yeye hayumo kwenye hii orodha sababu ni General incharge wa wizara zote.
 
Sawa mkuu.

Huyo Waziri wanishati bado shida ni nyingi kwenye wizara yake, ingawa yupo vzr kwenye jukwaa akiongea.

Wizara ya maji pia janja ni nyingi saana, Kwa Sisi wadaslam huyu aweso ni 🚮🚮


Sema nini Kwa mfumo ulivyo ni vigumu saana kuwapima utendaji wao na impact zao kwenye wizara Kwa ujumla

Sisi wananchi tunawapima Kwa kuwaona kwenye majukwaaa na media wakiongea tunahitimisha huyu yupo vzr huyu hapana
 
Sijui umetumia kigezo gani ila kwa ukweli na uwazi waziri bora zaidi awamu hii ya 6 ni Hussein Bashe huyu sisi wakulima tunajua nini anafanya maneno kidogo matendo Lori zima
Mitano tena kwa Bashe
 
Huyu ndiye Waziri mbovu kuliko wote.Kazi yake kucheza na media
Na Amewapata Watanzania
Maji Hayatoki Yeye Anauza Maneno Kila Siku Tanzania Sasa Inaaminishwa Uchawi Hadharani
 
Sijui umetumia kigezo gani ila kwa ukweli na uwazi waziri bora zaidi awamu hii ya 6 ni Hussein Bashe huyu sisi wakulima tunajua nini anafanya maneno kidogo matendo Lori zima
Mitano tena kwa Bashe
Mleta mada alisahau sekta ya kilimo kuwa inasimamiwa na genius bashe!
 
Haa Haa Naona Umeanza Na Waziri Wa Fix Aliyeenda Mwakitolia Akaambiwa Mabomba Yanapaa Kama Ndege Nyakati Za Usiku
Huyu Mdigo Msanii sana,na anaongea kwakujikaza kabisa. AMEHARIBIKA SANA,MWANZO ALIKUWA KIJANA MZURI SIFA ZIKAMLEVYA AKAFUATA NJIA YA MAFISADI.
 
Back
Top Bottom