Marco christopher
Member
- Apr 16, 2012
- 11
- 1
Mkuu tupatie majina ya walijiuzuru
Confirmed. Waliojiuzulu ni Mkullo, Mponda,Nundu na Chami.
Hivi makamu wa rais ye hawez kuidhnisha hao mambwa wajiuzuru,au yeye kaz yake ni nin?
Hivi makamu wa rais ye hawez kuidhnisha hao mambwa wajiuzuru,au yeye kaz yake ni nin?
Unaambiwa kazi ya makamu wa rais ni kukata utepe tu kwenye tafrija mbali mbali
Haya bana. This is going the to be the missed opportunity.
Kweli bongo shamba la bibi, yaani zile privilege zoote ni kwa mtu ambaye kazi yake ni kukata utepe tu?!Senator, Makamu wa rais wa Tz hadi sasa kazi yake huijui? Kukata utepe.