Vuvuzela Nape hupo?
Je, hawa mawazili ni magamba?
Je, hawa mawazili ni wezi na majambazi wa mali za umma. AU
Je, wamepoteza mvuto ndani ya ccm na kwa wananchi kwa ujumla.
Je, ndo utekelezaji wa sera ya kujivua magamba?
Funguka vuvuzela...
Watanzania wameshindwa kuichukua nafasi hii kudai kile wanachokita.
Sidhani kama wanachokita Watanzania ni kujiuzulu kwa mawaziri nane.
Lakini habari ya kujiuzulu kwa mawaziri nane inawafanya Watanzania so excited mpaka wamesahau kila kitu.
Ni kama vile hao mawaziri wapya nane watakaokuja wata solve kila kitu.
Huwezi kusema gari bovu sana liko fit kwa kubadilisha taa za mbele.
Pinda ni mzito kwa kila idara!
Mbona uwaziri mkuu ni nafasi ya utendaji anangoja amri ya nani huyu stooge?
Naanza kujiuliza nje ya Box kuwa alimpataje Tunu!
Mhh! Ngoja tuone serikali itawafanyaje maana kwa ccm kuwajibika.
Baada ya kujiuzulu, washitakiwe kwa kutumia madaraka yao vibaya na kuliingizia taifa hasara, na ikiwezekana wafungwe kwa muda mrefu sana gerezani. Kujiuzulu tu halafu wakaenda kutumbua mali waliyotuibia hakutoshi; ningetegemea watoa hoja waongeze kipengele hicho kwenye hoja hiyo.
Raisi naye awajibishwe kwa kushindwa kuwasimamia watu aliowapa madaraka hadi wakaliingizia taifa hasara kubwa kiwango hicho; naye ashitakiwe (ingawa najua sheria hiyo haipo).
View attachment 52275
Wakuu lakini huyu si Daudi balali mwenyewe au amekufa ame twit kasema
Wanasiasa waongo, wasio na dira na wanafiki ndani ya jamii iliyojaa wananchi wasio na ufahamu wa kutosha. Okoeni Tanzania. Amkeni.
Jamaa yetu wa SMG na dola 4000 ambazo hatujui kama alitoka nazo Dar au machimboni vipi?Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja;
Pinda na JK Wake bado tu??? Hili sakata ilitakiwa wajiuzuru wote halafu tuanze upy kuitengeneza nchi yetu.
Tumwombe God Bless Lema afunge tena siku saba kwa ajili ya hawa mawaziri halafu tuone kitakachotokea. Itakuwa ni kupukutisha serikali yoteTumshukuru mungu kwa hao walio jiuzuru kula pesa za wa tz' wa tz tufunge na kuomba ili wakamatwa nakufugwa jela maisha iwefundisho na kwa wengine.