Mhe. Balozi Mahiga akikaribishwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Simba Yahya. |
Mhe. Balozi Mahiga akipokea shada la maua kutoka kwa mmoja wa Watumishi wa Wizara Bi. Nsia Paul wakati wa mapokezi yake Wizarani |
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wakimkaribisha kwa shangwe na furaha Mhe. Balozi Mahiga Wizarani. |
Mhe. Waziri akisalimiana na Watumishi wa Wizara waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili Wizarani rasmi baada ya kuapishwa. |
Katibu Mkuu wa iliyokuwa Wizara Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bibi Mapunjo akijitambulisha rasmi kwa Waziri, Mhe. Balozi Mahiga na Mhe. Naibu Waziri, Mhe. Kolimba (kushoto). |
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa akiongea jambo wakati wa mapokezi ya Mhe. Waziri na Naibu Waziri. |
Hivi sasa hadi Wana ndoa wanafanya ziara za kustukiza kwa michepuko yao!!..Najiuliza hakuna namna nyingine ya monitoring and Evaluation mpaka kustukiza?..Ni wapi duniani maendeleo yalipatikana kwa ziara za kustukiza?..Je Nape Nnauye akifanya ziara ya kustukiza katika kambi ya Taifa Stars ndio itakwenda World Cup?..
tokapaaaWewe jinga kweli. mfumo Wa kushtukiza ni bora unapo kuwa unatathmini utendaji Wa watu. Wafanyakazi wetu uvivu umewajaa. Wakifanya huku wanajua kiongozi atawashtukiza muda wowote basi hawawezi zembea hata kidogo.
Inaelekea wewe siyo mtanzania. Upumbavu umekujaa
toka zakoWewe jinga kweli. mfumo Wa kushtukiza ni bora unapo kuwa unatathmini utendaji Wa watu. Wafanyakazi wetu uvivu umewajaa. Wakifanya huku wanajua kiongozi atawashtukiza muda wowote basi hawawezi zembea hata kidogo.
Inaelekea wewe siyo mtanzania. Upumbavu umekujaa