Mawakili Mwanza njaa kali


Common practice wapi? Toka lini matangazo yakawa na madhara kama yanafuata taratibu? Mbona huko kwenye nchi zilizoendelea na tuliko iga wanaruhusu kutangaza huduma? Wao ni wajinga?

Nijibu hili swali; bila kuwa na uhuru wa kutangaza huduma zao, watu watajuaje kama huduma wanazozitaka zinatolewa na mtu fulani?

Halafu, baada ya kunijibu hilo swali, naomba unipe maoni yako kuhusu hii about-turn kwenye hii habari iliyochapishwa tarehe 28 June, 2014 ambayo inasema kwamba mawakili sasa ni rukhsa kutangaza huduma wanazozitoa.


Source
 
acha jazba ni ukweli mtupu na nimeuona kwa macho yangu ulie ucheke i dont care

Ulienda unapita kila ofisi unaulizia wamepata kazi ngapi kwa mwezi huu? Kama sikosei wewe utakuwa Mjita! Mmekalia umbea tu kukaa mnachunguza maisha ya wenzenu! Acha hizo kenge wewe! Ulishawasikia wanapita barabarani wanalia njaa?
 
sasa kama hawatafuti wateja wao wanangoja kufuatwa maofisini watapata wapi hela,wakati mwananchi wa kawaida hata hajuh kama huwa kuna huduma za kisheria?

unashauri wafanyeje? wawashe loudspeaker wapite mitaani wakijitangaza?
 

huyo niliyemtaja ofisi yake ni kiuchochoro tu yaani ni ofisi ya chama cha wazoa taka sijui pale karibu na fire ..kaweka meza na viti viwili yaani humo ndani ni giza kama uko kwenye shimo ....
 

njaa ni njaa tu haina cha sheria wala jinai bora nifungwe kwa kusema kitu sahihi sasa mbona mmejaa business card tele na mlinipa ninazo mkikomaa sana nazipiga picha naziweka hapa kwa hiyo sheria imekuwa biashara kama ya uchawi ifanywe sirini mtu akifanya vizuri inampa big up
 
huyo niliyemtaja ofisi yake ni kiuchochoro tu yaani ni ofisi ya chama cha wazoa taka sijui pale karibu na fire ..kaweka meza na viti viwili yaani humo ndani ni giza kama uko kwenye shimo ....

kuna siku ataondoka na nge ofisini na akiwa anatoa hoja kwa jaji mdudu anamgoga kwenye paipu hapo sijui atalia kwamba kapata taarifa ya msiba au vp
 

mtoa mada anadai mawakil wana njaa lakini wakitoza kubwa (kwa tasfri yake) ili kupunguza hiyo NJAA anaanza kulialia,yeye alitaka wafanyaje? hebu arudi a-edit mada yake ili tumuelewe-inawezekana ana hoja ila hajaifafanua!
 
taarifa mh spika au ulitaka nikae kimya wakati noble proffession wanashindwa kununua hata samani nzuri za ofisi achilia mbali vitendea kazi na suti

watanunuaje wakati ukidaiwa 1k unakuja kulialia hapa? acha kujitoa akili wewe kijana.
 
watanunuaje wakati ukidaiwa 1k unakuja kulialia hapa? Acha kujitoa akili wewe kijana.

huwezi kuwa na confidence ya kuomba fee ya mamilioni wakati kiatu kina vumbi na unapanda pikipiki au daladala na ofisi iko full vumbi kiyoyozi hakuna ni kujipepea magazeti huna sehemu ya wateja kukaa kabla ya kukuona huku anasoma magazine sio gazeti la kiu
 

hii ipelekwe jukwaa la JOKES au CHIT CHAT.
 

wewe una matatizo. kwani kinachomwaga issues mahakamani ni kichwa (mtu) au ofisi? mbona walimu wa tuition husomeshea chini ya miembe lakini wanafunzi wao hugonga divisheni wani za kumwaga? kinacho matter ni material anayomwaga mahakamani, sio office. halafu hii post yako iko too general--umejumlisha na kuwatukana mawakili wote jijini Mwanza badala ya kuwalenga tu hao wabaya wako. Afu kwa jinsi usivyojua kujenga hoja umewa-exclude akina Mutalemwa wakati na wao wako huko huko Mwanza. Umebugi meeeeeeeen!!
 
Naomba uniwekee hapa hiyo sheria inayojinaisha wakili kutangaza huduma zake, tafadhali.

Ulielewa nilichomaanisha kwa huyu bwana??? unafahamu nini maana ya Touting????? ukijua hiyo maana hata kwa kugoogle na nikusaidie, nenda kagoogle the Advocates Act, utajua nilimaanisha nini kwa huyu bwana kuwaita mawakili wengine njaa na kuwapa wengine sifa alikuwa anafanya kitendo gani,

soma section 47 na 48 of the Advocates Act,CAP 341,

47. Acting as tout prohibited

Any person who, on behalf of any advocate, or for his own account, acts as a tout shall be liable to a fine not exceeding one thousand shillings and to imprisonment for a term not exceeding six months.

48. Offence of, and penalty for, inducing clients to abandon their advocates

Any person who induces or attempts to induce any client or prospective client of any advocate to cease to be the client of such advocate in order to become the client of the advocate whom such person serves as secretary, clerk or messenger or in any other capacity, shall be liable to a fine not exceeding one thousand shillings and to imprisonment for a term not exceeding six months.

Uliyoquote wewe ni ammendment ya The Tanganyika Law Society Advocates ( Proffessional conduct and Etiquette) rules zilizokua zina strict rules kwenye Advertisements, lakini hata hiyo amendment bado haijawa more relaxed to the extent ya kuj akupost utumbo humu kuwakashifu mawakili wengine kwa kutangaza wengine...kama alikosa fees that is another issue ambayo swala la fees ni baina ya mteja na mtoa huduma ingawa kuna some guidelines on the advocates remunerations and fees.
 

mkuu stroke nahisi utakuwa ni wewe naona una hasira na bado ngoja niwatafute watu wanaowajua vizuri mawakili wa mwanza kiundani you must change mnafanya kazi kienyeji ki mami mami ntawapa connection na watu wanaouza office technology
 
mkuu stroke nahisi utakuwa ni wewe naona una hasira na bado ngoja niwatafute watu wanaowajua vizuri mawakili wa mwanza kiundani you must change mnafanya kazi kienyeji ki mami mami ntawapa connection na watu wanaouza office technology

I regret having contributing to your thread......empty head!!!
 

Mwanzisha mada hajatenda kosa lolote. Katoa maoni yake. Kosa liko wapi hapo? Na hiyo sheria ya touting haiwezi kuwa applicable kwenye madudu yanayowekwa kwenye hizi message boards na watu watumiao noms de plume.

Uliyoquote wewe ni ammendment ya The Tanganyika Law Society Advocates ( Proffessional conduct and Etiquette) rules zilizokua zina strict rules kwenye Advertisements,

Vyovyote vile, sasa hivi wanaruhusiwa kutangaza huduma wanazotoa, kinyume na ilivyokuwa awali. Kwa nini wameanza kuruhusu kama si kuona ilikuwa ni ujinga?

Kwa nini wameruhusiwa kutangaza huduma zao sasa?

lakini hata hiyo amendment bado haijawa more relaxed to the extent ya kuj akupost utumbo humu kuwakashifu mawakili wengine kwa kutangaza wengine...

Humu anything goes. Hata mimi naweza kutoa maoni ambayo mawakili wanaweza wasiyapende na hawawezi kunifanya chochote. Huwezi ukadhibiti maoni ya watu.

Ni wapi imeandikwa kwamba ni marufuku kwa watu kutoa maoni hasi dhidi ya mawakili? Wao ni kina nani hadi watu wasiweze kuwa na maoni hasi dhidi yao?

kama alikosa fees that is another issue ambayo swala la fees ni baina ya mteja na mtoa huduma ingawa kuna some guidelines on the advocates remunerations and fees.

Hata mimi nakubaliana naye kuwa wapo mawakili njaa wala vumbi bongo. Na hilo jambo la kweli kabisa na si njozi.
 
Sasa mkuu stroke nani atashindwa kulipa faini ya buku nishakwambia wewe na wenzako mmekariri isipokuwa hao watatu galati mutalemwa na imma hebu niambie kwa nini law firm zinafungua website na mnagawa business card
 
ulienda unapita kila ofisi unaulizia wamepata kazi ngapi kwa mwezi huu? Kama sikosei wewe utakuwa mjita! Mmekalia umbea tu kukaa mnachunguza maisha ya wenzenu! Acha hizo kenge wewe! Ulishawasikia wanapita barabarani wanalia njaa?

wewe utakuwa mkara ukweli unasemwa tu kama ulivyo ni dawa japo chungu
 

naona na wewe muda si mrefu utaenda kwenye ofisi za mashimoni kama sasa umeanza kuwaza ofisi za chini ya miti dahhh nakumbuka hata vinyozi hawatumii miembe kama ofisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…