Biashara ni matangazo ndugu yangu. Watu tunataka tuone miguu ya bia na compyuta mpakato.
nakubaliana na wewe kuwa kuna wakati tunakosea lakini biblia pia haikuweka kujisitiri mpaka wapi any way sitaki kutenda dhambi mie
Biblia imeongelea kijisitiri kichwani, yaani hata kama una nywele ndefu umejisikiri
Weka picha tuone
Mavazi ni uhuru wa mtu ili mradi havunji sheria za nchi,kanisa ikiwa na yenyewe ni taasisi inayofuata sheria za nchi,haipo kinyume na mavazi yanayokubalika kisheria.Hayo uliyoelezea hii ni kutokana na uonavyo wewe na sio sheria za nchi.
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
Wagalatia akili hawana wanahalalisha mpk ndoa za jiinsia moja,
Katika Quran 19:83 Je, huoni yaNatanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
wachungaji wa siku hizi wanachoangalia ni sadaka tu na michango ya kanisa
tena hawawezi kuwadhibiti mabinti ambao hata nyumbani usikute wameshindikana wataanzia wapi??????,??
tena wewe nadhani unaweza tongoza katikati ya ibada bila kuona aibu ........ ila si unavumilia na wewe