Mr.laravel
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 471
- 515
Acha kulalamika Chukua nafasi yako kama mwanaume.
Aisee.......substation!Mtwange yellow card, asipojirekebisha piga pyepyeeeeee then mtwange Red Card atoke ndani na wewe usifanya substation si unajua red card haina substation
Subiri mpaka jpili ukishampigia kura yako Lowassa, mbunge wa UKAWA na diwani wa UKAWA unaweza kusepa.¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
Mkuu hivi huelewi nini maana ya mwanaume kuwa kichwa? Ni kuweza kusimamia nyumba yako ipasavyo, Kama unaweza kumwachia mke wako akafanya maamuzi yake bila wewe kuhusika huoni kama ni kushindwa kuisimamia nyumba yako!!! Unawezaje sema unataka kuondoka nyumbani kwako Simama sema kuanzia leo sitaki moja,mbili, tatu mwambie mwanamke kama hawezi kuacha ni vigumu kuwa pamoja basi na iwe hivyo sio kukimbia nyumba!!Mkuu jamaa anaomba ushauri wala haja lalamika.
70% my wife!hata mie nilitaka kukimbia nyumba lkn nikaghairi nikajifunza kutokumuongelesha, "mzigo?? Nikaanza kuchepuka" tena sina mpango hata yeye akitaka akechepuke tu!3 month kanyooka, yeye ndio anabembeleza!¤ kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
Natoa ushauri huu kwa unyenyekevu sana tafadhali kabla ujaamua kutengana au kuachana na mkeo au mumeo onana na mwanasheria na wala sio padre au mchungaji au sheikh, utapata ushauri mzuri sana kuhusu usalama wako wewe na wa mali zako
Ondoka nyumbani.........¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
70% my wife!hata mie nilitaka kukimbia nyumba lkn nikaghairi nikajifunza kutokumuongelesha, "mzigo?? Nikaanza kuchepuka" tena sina mpango hata yeye akitaka akechepuke tu!3 month kanyooka, yeye ndio anabembeleza!
¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.