Nakubaliana na wewe na huo ndiyo ukweli wenyewe.
Hata Pinda kagoma kuachia ngazi, yeye na Mawaziri wenzake ni FREEMASONS.
Ile Gari ya Kikwete iliyowekewa mafuta yaliyochakachuliwa na ikagoma kutembea ilikuwa FREEMASONS.
Ndege ya ATCL ilikuwa ni FREEMASONS...... Freemasons RULE.
Loh! U made my evening for sure!
Yawezekana hata JF ni Freemasons ndio maana watu hawabanduki hapa!
Loh! Blame it ALL on FREEMASONs!