kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,664
Nilikuwa sijawahi kuuzingatia huu wimbo. Now nauangalia nimegundua Rose Muhando ana kiuno bila mfupa, mauno ya hatari kabisa yaani akiamua kujiachia kama wanaoimba nyimbo za 'kidunia' wakina Snura na Shilole itabidi warudi kwenye muvi tu.
Nawewe ufaidi angalia hapa
Nawewe ufaidi angalia hapa
Last edited by a moderator: