Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

qn of sheba

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
3,230
Reaction score
1,382
Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha Radio one Stereo/ITV ameacha kazi.

Kitenge ambaye amefanya kazi kwenye kituo hicho kinachomilikiwa na IPP kwa muda wa miaka 14, amedai anakwenda kufanya shudhuli zake binafsi akidai kuwa, hali ya maisha imepanda kwa kiasi kubwa sana na mahitaji ya kimaisha yameongezeka gharama, hivyo inanilazimu kutafuta njia mbadala ya kujiingizia kipato kikubwa zaidi



Kumbukumbu zangu

Mwaka 2005 nilisoma kwenye gazeti moja hivi (sikumbuki) alisema anampango wa kugombea ubunge ifikapo 2015.

Sijui kama bado ana nia hiyo iliyomlazimu aache kazi au kapata shavu kwingine.

ALL IN ALL: Kila la kheri Maulid Kitenge a.k.a Baba Shadya tutakumiss kwenye kioo.

----------------------


attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • 1408365699875.jpg
    1408365699875.jpg
    58.5 KB · Views: 2,364
  • 1408365722553.jpg
    1408365722553.jpg
    60.4 KB · Views: 2,134
ni miongoni mwa watangazaji wakongwe wachache waliokuwa wamebaki radio one.
waliobaki ni Abubakari Sadick, Mohammed Kissengo, Deo Rweyunga na Abdallah Mwaipaya
 
Imekaa safi sana hii,ametoka kwenye quadrant moja(Kuajiriwa) kama ataenda kuajiriwa sehemu nyingine atakuwa hajafanya kitu atakuwa yupo pale pale kwenye 1st quadrant,kama akienda kujiajiri atakuwa ame-move kwenye second quadrant.
 
Imekaa safi sana hii,ametoka kwenye quadrant moja(Kuajiriwa) kama ataenda kuajiriwa sehemu nyingine atakuwa hajafanya kitu atakuwa yupo pale pale kwenye 1st quadrant,kama akienda kujiajiri atakuwa ame-move kwenye second quadrant.

Yeah tusubiri tuone kama ataamua kuwa mfanyabiashara/mkulima/mwanasiasa.
 
Imekaa safi sana hii,ametoka kwenye quadrant moja(Kuajiriwa) kama ataenda kuajiriwa sehemu nyingine atakuwa hajafanya kitu atakuwa yupo pale pale kwenye 1st quadrant,kama akienda kujiajiri atakuwa ame-move kwenye second quadrant.

Wakiondoka hao dah Radio one itakuwa na vichwa vipya tu ambavyo sivifahamu.
 
Kawa mstaarabu tu kwa kumsitiri mwajiri wake ila ukweli ni kwamba lile chaka ninalipa kiduchu sana.
 
Imekaa safi sana hii,ametoka kwenye quadrant moja(Kuajiriwa) kama ataenda kuajiriwa sehemu nyingine atakuwa hajafanya kitu atakuwa yupo pale pale kwenye 1st quadrant,kama akienda kujiajiri atakuwa ame-move kwenye second quadrant.

Robert Kiyosaki quote...... lakini asije kuwa kaangukia kwa akina Mario...... haitakuwa vema.
 
Robert Kiyosaki quote...... lakini asije kuwa kaangukia kwa akina Mario...... haitakuwa vema.

Umarioo haa sidhani ingawa mke wake mkubwa Eshe Mhidin aliyekuwa TBC sasa yupo UN Sudani huyu mke wapili sijui anafanya kazi gani.
 
MTANGAZAJI wa michezo wa Radio One Stereo na ITV, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katikakampuni hiyo ya IPP baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Je, nini maoni yako.


attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • kitenge.JPG
    kitenge.JPG
    17.7 KB · Views: 11,121
  • index.jpg
    index.jpg
    8.5 KB · Views: 11,157
  • indexa.jpg
    indexa.jpg
    6.5 KB · Views: 7,177
Jamaa alikuwa jembe sasa cjui nani atatangaza michezo kwa ustadi mkubwa hapo radioone?
 
Pengo kubwa kabisa...anaenda wapi huyu jamani isije ikawa clouds atapotea mbaya kama regina mziwanda.
 
Hio Message yake amekosea ama ?

Sababu anasema baada ya kutumika kwa miaka 14... hii inatoa maana nyingine kabisa ukilinganisha na kutumikia
 
Hio Message yake amekosea ama ?

Sababu anasema baada ya kutumika kwa miaka 14... hii inatoa maana nyingine kabisa ukilinganisha na kutumikia

Hapo kwenye red color nami pamenipa ukakasi kidogo. Naomba labda wajuzi wa lugh watuwekee sawa maana yake kimantiki.
 
si alitangaza nia ya kugombea jimbo la ubungo kupitia ccm kumn'ngoa Mnyika
 
Back
Top Bottom