Benefit yake nini tukishajua style ya nywele za mume wa mtu ? Mkewe akipita kunako huu uzi ajifunze nini ?
Mantik hapa haijahusika kabisa!.
Correction sir: Jamaa ni mume wa WATU,chezeya kitenge wewe!
Correction sir: Jamaa ni mume wa WATU,chezeya kitenge wewe!
Correction sir: Jamaa ni mume wa WATU,chezeya kitenge wewe!
Niwekee picha yake mtoa mada anaweza kunivutia naona bado kwake kuna vacancy ,..
loh hiki kinaitwa kiduku jamani ni juu ya nini?thread ilishakuwepo long tiiime.....https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/91886-maulidi-kitenge-anaponyoa-kihuni.html
Kitenge siyo lelemama
anauwezo wa kukaa na wamama watatu,
sijui anawezaje.
pengine wanampendea hizo fasheni za kichwani.
Correction sir: Jamaa ni mume wa WATU,chezeya kitenge wewe!
ni kweli pia nilishamsahauLabda umaarufu umeshuka, sasa anaupandisha. Na amefanikiwa, manake umenifanya hata mimi nikumbuke uwepo wake.