Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Na walimu 10,000 wa Kenya walioambiwa wajiandikishe wanatoka Commoro?
KWa sababu Raia wa Rwanda na Burundi walishapewa option ya kuwa raia wakakataa na option ya ku legalize wakataa na ndio maana wakishikwa tu lazima warudishwe. Maana option zingine hazifanyi kazi zaidi ya hiyo ya kuwarudisha.
Msikilize huyu ndo aliwapa option hizo, sasa wewe unatagemea nini? msikilize huyu bwana mpaka mwisho.
PRESIDENT KIKWETE ON ILLEGAL IMMIGRANTS' REPATRIATION FROM TANZANIA - YouTube
mkuu apo kwenye red,wameambiwa walipie dollar 2000 sawa na 3,200,000 kwa mwaka kwa kila mwalimu na uwa inapanda kila mwaka,je wale wamalawi waliambiwa walipe ?