mauaji ya ujambazi kariakoo

mauaji ya ujambazi kariakoo

tatizo pesa zilizookolewa zitarudishwa zilipoibwa au polisi watasema tumeokoa pesa lakini jambazi jingine lilirusha risasi na kukimbia na pesa hizo. huku chemba polisi wanagawana ulaji. ndio zao hao.

jambazi limekamatwa ila pesa hazijaonekana, maajabu
 
Huyo ni kibaka sio jambazi.
Jambazi hakamatwi, isitoshe haendi eneo la tukio. Yeye anapiga simu tu kufungua njia.
 
wengine watattu washeshakamatwa. nimepita pale Polisi Msibazi wako chini ya Ulinzi
 
Wandugu,
hii picha ndio ya Rama Jangiri au ndio Jambazi la kariakoo? Maana habari inajichanganya. Hawa wezi wa power windows wanatia watu hasara sana. :target:
 
Watu wawili raia wa-Kisomali wameuawa na majambazi walikuwa wanaelekea bank kupeleka hela ila jambazi mmoja amekamatwa ndio huyo. Kama mtu unajua uliibiwa chochote nenda pale polisi kawe (karibu na Tanganyika packers).

Wamekamata vitu vingi kwenye nyumba ya huyu jamaa (Rama Jangili) aliyekua anafanya wizi huu… Magari pia yamekutwa… mwenye taarifa hii amjulishe na mwenzie…

Updates.
Wamemkamata mmoja na silaha (bastola) na aliyeuwawa ni mmoja si wawili. Alikua na sh 150m toka dukani na zimekwenda na ilikua Mtaa wa Livingstone na Uhuru, sio Kongo bar, ila risasi kibao zimelia na ilikua taharuki mtaani hapo.

Wangetusaidia pia kumkamata RPC wa Iringa
 
kwa kuwa majambazi wanatuuwa na wao wauliwe hivyo hivyo.
 
HAo hawakuwashirikisha Porishi.Manake Porish akisikia Jamashi kaiba anamtafuta kwa udi na uvumba akiomba hasiwe kamaliza hizo hela ili naye apate kidogo
 
Milioni 150 kutoka dukani. Wenzetu wanauza vichwa vya scania dukani? Kudunduliza au kutembea na kiasi kikubwa cha fedha kama hicho bila ulinzi ni uzembe mkubwa. Mungu amrehemu...!
 
tatizo pesa zilizookolewa zitarudishwa zilipoibwa au polisi watasema tumeokoa pesa lakini jambazi jingine lilirusha risasi na kukimbia na pesa hizo. huku chemba polisi wanagawana ulaji. ndio zao hao.

njaa bwana mbaya sana. polisi waokoa pesa nao waondoka na pesa.
haya sasa kova anataka kutuambia kuwa hajui polisi wake wamekula kona na hizo ml 150? au mchezo mwingine unachezwa hapa?
 
halafu hao hao ndio wanaunda tume ya kuchunguza , wakizipata si watagawana tena. haya nayo yamo tz
 
Back
Top Bottom