vinana! Ha ha haaaa.
unafurahiya kwa kuuliwa wasomali, ama kweli wewe hufai hata kidogo. Sijui una dini gani au imani gani. Mungu akusamehe kwani hujui ufanyalo. Wasomali ni wanadamu wenzetu na ni ndugu zetu, waafrica wenzetu. Wanaishi nasi vizuri nasi, sio kama wahindi au wazungu. Inasikitisha sana kushirikian kwenye forum hii na mtu kama wewe. You are inhuman