mauaji ya ujambazi kariakoo

mauaji ya ujambazi kariakoo

salmar

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
799
Reaction score
363
Watu wawili raia wa-Kisomali wameuawa na majambazi walikuwa wanaelekea bank kupeleka hela ila jambazi mmoja amekamatwa ndio huyo. Kama mtu unajua uliibiwa chochote nenda pale polisi kawe (karibu na Tanganyika packers).

Wamekamata vitu vingi kwenye nyumba ya huyu jamaa (Rama Jangili) aliyekua anafanya wizi huu… Magari pia yamekutwa… mwenye taarifa hii amjulishe na mwenzie…

Updates.
Wamemkamata mmoja na silaha (bastola) na aliyeuwawa ni mmoja si wawili. Alikua na sh 150m toka dukani na zimekwenda na ilikua Mtaa wa Livingstone na Uhuru, sio Kongo bar, ila risasi kibao zimelia na ilikua taharuki mtaani hapo.
 

Attachments

  • jambazi.jpg
    jambazi.jpg
    20.1 KB · Views: 1,048
Moja limekamatwa moja rimetoroka
 
:confused2::confused2::confused2::confused2:

na jambazi liko hai?
ni vema akahojiwa na kutoa mwanga wa kukamata majambazi wengine, kosa la kuua jambazi kwenye eneo la tukio mara nyingi ni kukosa taarifa muimu. Ukumbuke kuwa hata majambazi mwenzao akijeruhiwa wanamuua ili asije toa siri
 
Watu wawili raia wakisomali wameuawa na majambazi walikuwa wanaelekea bank kupeleka hela ila jambazi mmoja amekamatwa ndio huyo. Kama mtu unajua uliibiwa chochote nenda pale polisi kawe (karibu na Tanganyika packers). Wamekamata vitu vingi kwenye nyumba ya huyu jamaa (Rama Jangili) aliyekua anafanya wizi huu… Magari pia yamekutwa… mwenye taarifa hii amjulishe na mwenzie…

Mbona unachanganya habari?
 
hebu mwone anavyotia huruma? kama mtu mwema vile ....haya sasa jeshi la polisi mumfanyie kazi huyo
 
Duuh, huyo jamaa alivyo na kitambi kikubwa kumbe mwizi...
 
Halafu bado yu hai tena na afya njema kabisa!


Watu wawili raia wa-Kisomali wameuawa na majambazi walikuwa wanaelekea bank kupeleka hela ila jambazi mmoja amekamatwa ndio huyo. Kama mtu unajua uliibiwa chochote nenda pale polisi kawe (karibu na Tanganyika packers).

Wamekamata vitu vingi kwenye nyumba ya huyu jamaa (Rama Jangili) aliyekua anafanya wizi huu Magari pia yamekutwa mwenye taarifa hii amjulishe na mwenzie
 
Chukueni koleo kateni makende ya huyo jambazi kwanza, atasema A-Z... Safiii polisi
 
Watu wawili raia wa-Kisomali wameuawa na majambazi walikuwa wanaelekea bank kupeleka hela ila jambazi mmoja amekamatwa ndio huyo. Kama mtu unajua uliibiwa chochote nenda pale polisi kawe (karibu na Tanganyika packers).

Wamekamata vitu vingi kwenye nyumba ya huyu jamaa (Rama Jangili) aliyekua anafanya wizi huu… Magari pia yamekutwa… mwenye taarifa hii amjulishe na mwenzie…

Umechukua habari 2 tofauti ukazimix ukapata moja, ram jangiri habari nyingine na ya majambazi kariakoo nyingine.
Rama jangiri habari ya wanaoiba vifaa na vitu ndani ya gari.
Wa kariakoo wameua na kuiba mchana kwa siraha na kukimbia na pesa walipoona polisi wamewakomalia wakalitupa begi
 
Back
Top Bottom