Mauaji ya Milembe huko Geita ni mauaji kama mengine, wanaharakati acheni uchochezi

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Makosa ya jinai huwa hayabagui dini, rangi, cheo,kazi wala kabila.

Mauaji yaliyofanywa na watu wasiojulikana huko Geita ni mauaji kama mauaji ya mengine.
  • Wakulima wangapi wanauwawa huko wanaharakati hamsemi chanzo ni ushoga?
  • Watoto wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Wafanyabiashara wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Albino wangapi wanauwawa hamsemi ni ushoga?
  • Mapadri wangapi wanauwawa kwanini hamsemi ni ushoga?
  • Masai wangapi wanashambuliwa hamsemi ni ushoga?
Kwanini kwa huyu Milembe kuuawa wanaharakati mbinue midomo kudai kauwawa kisa ni shoga na msagaji?

Hakuna serikali yoyote inayopenda mwananchi auwawe kutokana na tabia yake njema au mbovu. Kuwa na tabia njema au mbovu haina maana uko salama mbele ya mikono ya watu wenye nia ovu juu yako. Kila mtu anakazi yake inayomuingizia kipato iwe njema au mbovu ni kazi yake.

Ushoga na usagaji ni kazi kama ilivyo ujambazi n.k. Katika harakati za pesa huwa kuna kuzulumiana au kukosana na wengine mnaoshiliki nao dili la pesa. Hivyo watu hao wakiamua kutekeleza nia ovu ya kisasi huwa haibagui kwamaba huyu ni shoga tumuache na yule padri tumuue.

Mauaji ya milembe kwanini tusiyahukumu kama mauaji ya kisasi, kibiashara, kikazi au pengine kishirikina? Inakuwaje wanaharakati mkimbilie kutuhumu kwamba kauwawa kwasababu ni msagaji?

Napata mashaka makubwa na mienendo ya Fatuma Karume na Maria Sarungi. Kauli zao ni uchonganishi wa serikali na mataifa mengine.

Wataficha wapi sura zao kama upelelezi ukibaini kinyume, mfano aliyeuwawa alikuwa miongoni mwa watu waliokula njama na kugeukana katika utoroshaji dhahabu?
 
Wataleta sababu kibao lakini ukweli upo waz....kusagana watu husagana mbona fresh tu ...tatizo ni kuchukua wake za watu....mwanamke akichepuka mpaka hisia zote anaziacha nje akiwa na mumewe hataki hata kuguswa mwili.

Mke wa MTU ni tofauti na mume wa MTU...Mume wa MTU anaweza akawa anakula hadi mdogo wako....Dogo asipojishaua bas mke huji kugundua mumeo anachepuka....wanaume hutoa dudu nje akili huacha ndani
 
Makosa ya jinai huwa hayabagui dini, rangi, cheo,ka,i wala kabila!

Mauaji yaliyofanywa na watu wasiojulikana huko Geita ni mauaji kama mauaji ya mengine!
  • Wakulima wangapi wanauwawa huko wanaharakati hamsemi chanzo ni ushoga!
  • Watoto wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga
  • Wafanyabiashara wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga
  • Albino wangapi wanauwawa hamsemi ni ushoga
  • Mapadri wangapi wanauwawa kwanini hamsemi ni ushoga!
  • Masai wangapi wanashambuliwa hamsemi ni ushoga!
Kwanini kwa huyu Milembe kuuawa wanaharakati mbinue midomo kudai kauwawa kisa ni shoga na msagaji?

Hakuna serikali yoyote inayopenda mwananchi auwawe kutokana na tabia yake njema au mbovu.

Kuwa na tabia njema au mbovu haina maana uko salama mbele ya mikono ya watu wenye nia ovu juu yako.
Kila mtu anakazi yake inayomuingizia kipato iwe njema au mbovu ni kazi yake.

Ushoga na usagaji ni kazi kama ilivyo ujambazi n.k.
Katika harakati za pesa huwa kuna kuzulumiana au kukosana na wengine mnaoshiliki nao dili la pesa!
Hivyo watu hao wakiamua kutekeleza nia ovu ya kisasi huwa haibagui kwamaba huyu ni shoga tumuache na yule padri tumuue.

Mauaji ya milembe kwanini tusiyahukumu kama mauaji ya kisasi, kibiashara, kikazi au pengine kishirikina?.

Inakuwaje wanaharakati mkimbilie kutuhumu kwamba kauwawa kwasababu ni msagaji?

Napata mashaka makubwa na mienendo ya fatuma karume na maria sarungi!!

Kauli zao ni uchonganishi wa serikali na mataifa mengine!

Wataficha wapi sura zao kama upelelezi ukibaini kinyume mfano! .aliyeuwawa alikuwa miongoni mwa watu waliokula njama na kugeukana katika utoroshaji dhahabu?
Mi bado sijaelewa wanasema ameuwawa na watu wasiojulikana na hapo hapo tunaaambiwa wamekamatwa watu wanne
 
Makosa ya jinai huwa hayabagui dini, rangi, cheo,kazi wala kabila.

Mauaji yaliyofanywa na watu wasiojulikana huko Geita ni mauaji kama mauaji ya mengine.
  • Wakulima wangapi wanauwawa huko wanaharakati hamsemi chanzo ni ushoga?
  • Watoto wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Wafanyabiashara wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Albino wangapi wanauwawa hamsemi ni ushoga?
  • Mapadri wangapi wanauwawa kwanini hamsemi ni ushoga?
  • Masai wangapi wanashambuliwa hamsemi ni ushoga?
Kwanini kwa huyu Milembe kuuawa wanaharakati mbinue midomo kudai kauwawa kisa ni shoga na msagaji?

Hakuna serikali yoyote inayopenda mwananchi auwawe kutokana na tabia yake njema au mbovu. Kuwa na tabia njema au mbovu haina maana uko salama mbele ya mikono ya watu wenye nia ovu juu yako. Kila mtu anakazi yake inayomuingizia kipato iwe njema au mbovu ni kazi yake.

Ushoga na usagaji ni kazi kama ilivyo ujambazi n.k. Katika harakati za pesa huwa kuna kuzulumiana au kukosana na wengine mnaoshiliki nao dili la pesa. Hivyo watu hao wakiamua kutekeleza nia ovu ya kisasi huwa haibagui kwamaba huyu ni shoga tumuache na yule padri tumuue.

Mauaji ya milembe kwanini tusiyahukumu kama mauaji ya kisasi, kibiashara, kikazi au pengine kishirikina? Inakuwaje wanaharakati mkimbilie kutuhumu kwamba kauwawa kwasababu ni msagaji?

Napata mashaka makubwa na mienendo ya Fatuma Karume na Maria Sarungi. Kauli zao ni uchonganishi wa serikali na mataifa mengine.

Wataficha wapi sura zao kama upelelezi ukibaini kinyume, mfano aliyeuwawa alikuwa miongoni mwa watu waliokula njama na kugeukana katika utoroshaji dhahabu?
Kwanza tujue je Fatima karume na Maria salungi je Wana wanaume na watoto?
 
Makosa ya jinai huwa hayabagui dini, rangi, cheo,kazi wala kabila.

Mauaji yaliyofanywa na watu wasiojulikana huko Geita ni mauaji kama mauaji ya mengine.
  • Wakulima wangapi wanauwawa huko wanaharakati hamsemi chanzo ni ushoga?
  • Watoto wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Wafanyabiashara wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga?
  • Albino wangapi wanauwawa hamsemi ni ushoga?
  • Mapadri wangapi wanauwawa kwanini hamsemi ni ushoga?
  • Masai wangapi wanashambuliwa hamsemi ni ushoga?
Kwanini kwa huyu Milembe kuuawa wanaharakati mbinue midomo kudai kauwawa kisa ni shoga na msagaji?

Hakuna serikali yoyote inayopenda mwananchi auwawe kutokana na tabia yake njema au mbovu. Kuwa na tabia njema au mbovu haina maana uko salama mbele ya mikono ya watu wenye nia ovu juu yako. Kila mtu anakazi yake inayomuingizia kipato iwe njema au mbovu ni kazi yake.

Ushoga na usagaji ni kazi kama ilivyo ujambazi n.k. Katika harakati za pesa huwa kuna kuzulumiana au kukosana na wengine mnaoshiliki nao dili la pesa. Hivyo watu hao wakiamua kutekeleza nia ovu ya kisasi huwa haibagui kwamaba huyu ni shoga tumuache na yule padri tumuue.

Mauaji ya milembe kwanini tusiyahukumu kama mauaji ya kisasi, kibiashara, kikazi au pengine kishirikina? Inakuwaje wanaharakati mkimbilie kutuhumu kwamba kauwawa kwasababu ni msagaji?

Napata mashaka makubwa na mienendo ya Fatuma Karume na Maria Sarungi. Kauli zao ni uchonganishi wa serikali na mataifa mengine.

Wataficha wapi sura zao kama upelelezi ukibaini kinyume, mfano aliyeuwawa alikuwa miongoni mwa watu waliokula njama na kugeukana katika utoroshaji dhahabu?
Na police wasi relax kisa Maneno ya wanaharakati wa mashoga,wao waingie kazini na ukweli wote utajulikana,naona siku hizi Wanawake wapambanaji wanauwawa sana! Huwenda nao wamesha aanza kupiga ma deal ya dhuluma!!
 
geita wako serious na wivu wa mapenzi, pengine kasugua papuchi za wake za watu mpaka zikaota sugu, halafu mume hapewi mzigo kabisa, sasa baada ya fumanizi lazma atangulizwe kuzimu akaungane na wenzio wa sodoma na gomorah, hakuna namna nyingine.. pepo la usagaji ni baya sana maana linahamisha feelings za mwanamke kabisa, yan ni bora mkeo achepuke kwa mwanaume kuliko kwa msagaji,atageuka mtumwa wake na atamla mda wowote,..na hao wana harakati nao ni wale wale ndio maana hawaeleweki kama wana familia au , unuteteaje mmomonyoko wa maadili.
 
geita wako serious na wivu wa mapenzi, pengine kasugua papuchi za wake za watu mpaka zikaota sugu, halafu mume hapewi mzigo kabisa, sasa baada ya fumanizi lazma atangulizwe kuzimu akaungane na wenzio wa sodoma na gomorah, hakuna namna nyingine.. pepo la usagaji ni baya sana maana linahamisha feelings za mwanamke kabisa, yan ni bora mkeo achepuke kwa mwanaume kuliko kwa msagaji,atageuka mtumwa wake na atamla mda wowote,..na hao wana harakati nao ni wale wale ndio maana hawaeleweki kama wana familia au , unuteteaje mmomonyoko wa maadili.
Duh! kuna watu wanashuhudia haya masagaji yananyang'anya wanaume mademu.......roho zinazo operate kwa mashoga na wasagaji ni zilezile roho chafu, hakuna wenye unafuu......ni mambo yanayotakiwa yapingwe kwa nguvu zote, achaneni na hao wanaharakati waliokaa kimaslahi zaidi.
 
Back
Top Bottom