Mauaji ya Martin Trayvon...je haki ilitendeka?

Its true NN! Black Ammerricans should value themselves first in order to demand respect. Lakini ukweli unabaki palepale kwamba, the 17yrs old young blackman is dead, and Mr. Zimmerman was not arrested. The kid didn't deserve to die like that, black or white.

Absolutely. Trayvone didn't deserve to die.
 
Hapa bongo tu tuna ubaguzi wa hali ya juu, kwani hujui kwani ndoa kati ya wahindi na watanzania weusi ni chache mno, ikiwezekana za kuhesabu? Kwani hujui hapa bongo mbohora hawezi kumuoa hindu na vice versa, au ismailia kuoa hindu na vice versa? wakristo tu kuoa waislamu au vice versa inakua issue.
Pia wale wakina marealle, kida, bomani, kahama, mgaya, n.k. kwani hujui hawaruhusiwi kuoa walalahoi?!
Kweli binadamu tukiamua kufumba macho na masikio huwa tunafumba!
Tunapima ubaguzi kwa kipimo cha ndoa tu?
Ukimuliza mzungu/mchina/muhindi/mwarabu/muislamu/mkristo kama "wewe ni mbaguzi", jawabu itakayotoka midomoni mwa wengi, tena kwa dhati na kuamini hivyo kabisa, watakuambia "mimi si mbaguzi. Ninachukia, ninapinga ubaguzi wa rangi, dini au utamaduni." Na kweli, utawakuta wengi ni wanaharakati wasiopitwa na shughuli za kupinga na kuhamasisha vita dhidi ya ubaguzi.

Lakini kama utaendelea na maswali, ukamwuliza "uko tayari wewe au mtoto wako kuoa au kuolewa na mtu mweusi/ asiyekuwa mzungu/kabila/dini nyengine?", jawabu utakayopipata toka kwa wengi itakuwa "HAPANA!, mimi si mbaguzi lakini bora waowane wao kwa wao."

Swali langu, tabia kama hizo tunaziita za kibaguzi au kila mtu anatumia uhuru wake wa haki ya binadamu wa "kuchanganyika na anayemtaka katika kuendeleza mila/utamaduni/dini yake?

Lakini suala hapa linahusu kuuliwa kwa huyu kijana. Je, kama angeuliwa na mtu mweusi mwenzake tungesema nini? Kama walivyosema wengine, huyu mtoto ameuliwa na hakustahiki kufa, iwe aliuliwa na mtu mweupe, mwekundu, manjano au mweusi.
 
Lakini suala hapa linahusu kuuliwa kwa huyu kijana. Je, kama angeuliwa na mtu mweusi mwenzake tungesema nini?

Angeuliwa na mtu mweusi wala dunia isingemjua leo.

Jiulize tu, tokea auliwe huyo dogo kuna weusi wangapi ambao wameuliwa na weusi wenzao na dunia haiwajui?
 
Ok, vipi kama aliyeuwawa angekuwa mzungu na aliyeuwa black?

Issue hii haingaliwi kihivyo. Siyo two comparable issues.
 
Sijaelewa! Outrage dhidi ya blacks?
N what is a black crime au wamaanisha crimes zifsnywazo na black?

Nilimaanisha hivi, ukiangalia takwimu za uhalifu Marekani utaona kuwa weusi kwa weusi wanauana zaidi kuliko ambavyo weusi wanavyouliwa na watu wa rangi zingine.

Ndiyo nikauliza kama ni hivyo kwa nini watu (hususan jamii ya watu weusi Marekani) huwa hawaonyeshi kuchukizwa na kuchoshwa na hali hiyo?

Manake ukiangalia uhalifu mwingi ambao huhusisha watu weusi dhidi/ na baina ya watu wa rangi zingine mara nyingi sana hisia za chuki na shutuma za ubaguzi wa rangi huchukua nafasi katika mstari wa mbele.

Mifano ya kesi ambazo shutuma za ubaguzi wa rangi zilikuwa gumzo ni kesi ya O.J. Simpson (1995), Duke lacrosse case, na zinginezo.

Sasa mwanzoni wakati hili suala la huyu dogo ndiyo limeanza kushika kasi shutuma za ubaguzi wa rangi zikaanza na kama ambavyo mtu ungetarajia, shutuma hizo zilielekezwa kwa Wazungu na kuna watu walianza hata na kuhisi kuwa Zimmerman ni conservative Republican.

Baadaye ndiyo ikaja kujulikana kuwa Zimmerman ni Hispanic na mama yake ni mtu mwenye asili ya Peru na (yeye George Zimmerman) ni mwanachama wa chama cha Democratic ambacho tunaambiwa siyo chama cha wabaguzi.

What is Zimmerman's basic biography?
George Michael Zimmerman was born in 1983, the third of four children of Robert and Gladys Zimmerman. Robert, a retired military man and magistrate judge, describes the family as multiracial, telling the Orlando Sentinel that "George is a Spanish-speaking minority with many black family members and friends." Gladys is of Peruvian descent. Source

What else do we know about Zimmerman?
He registered as a Democrat in 2002, according to The Washington Free Beacon. Craig Sonner, Zimmerman's lawyer, told CNN that his client had recently mentored a young black boy, taking him out to play basketball and helping raise money for the boy's church. Source
 
Sijaishi Marekani, just visited the Country a couple of times.
Ila kwa kusoma tu, ninajua ubaguzi bado upo; at least to some states Washington State included; na kwa makala hii ya Tim wise (ambaye ni mzungu/mweupe) pamoja na makala zake nyingi, na shuhuda za rafiki zangu wanaishi kule ambao ni pamoja na african american, wabeba maboksi na wazungu bado ubaguzi upo. Critics na matusi anayopata Obama, bado inanionesha ubaguzi upo. Nikiwa New York some years back, nilishatukanwa na mwandishi wa habari (alikuwa ananienterview na akaniuliza swali la kijinga; "kuwa kitendo cha blacks kuwa na big behinds ni kiashiria kuwa hatujaevolve kama wao na kwamba wao wakiwa na mawowowo ni obesity na si maumbile). So nina ushahidi wa kutosha tu juu ya uwepo wa ubaguzi wa rangi USA

Siwachukii wamarekani, ila nawachukia wabaguzi wa rangi. Nb Mimi si mkaka



Dada mimi nimekaa Amerika kwa jumla ya miaka minne hivi. Na Zuri zaidi nilikuwa nakaa hapo hapo Orlando, Florida kwa kipindi fulani.

Ubaguzi wa rangi bado upo sana kule, ingawa umejificha katika tabasamu nyingi unazoweza kukutana nazo usijue. Wanazo preconceived notion kuwa mtu mweusi yupo hivi, na huwa hawataki kuamini kuwa mtu mweusi anaweza kuwa tofauti na notion walizo nazo: Ukuwa kule wewe ni mjinga tu, hata kama unapata A na B darasani, wewe ni ombaomba tu, hata kama una kazi, wewe ni mshamba tu, hata kama umekaa huko miaka mingi. Na sababu ya hayo yote huwa ni rangi ya ngozi yako. Mkitoka leo na mtoto wa kizungu kutafuta kazi, hata kama wote ni wageni pale, mzungu atapata kazi kwanza. Na wewe utakapopata hiyo kazi, mshahara wako utakuwa chini kuliko wa yule mgeni mwenzako mzungu.

Siku moja mzungu aliniletea makombo ya chakula kwa kuamini kuwa sikuwa na chakula pale niliishi nikatupa. Na usiombe vijana wanaume wa kizungu wakakuona unapendwa na binti mzungu mwenzao. Hasira na chuki huwa inapanda zaidi kuliko kabla ya hilo kujilikana. Namejiuliza sana kama huyo kijana aliyeuawa hakuwa na girlfriend mzungu. Huchukui muda ukijifanya kupendwapendwa na wasichana wazungu--hasa katika majimbo ya Deep South, yaani Florida, South Carolina, Texas, na majimbo mengine ya kusini.

Ubaguzi upo sana America. Nimeona mwenyewe. Sijasimuliwa.
 
Cause those crimes don't elicit emotions, remember controversy sells!

You're right about that. Someone once told me 'racism is a big business in America' and I was like 'whaaat'? Later on I realized why he was saying that.
 
Dada mimi nimekaa Amerika kwa jumla ya miaka minne hivi. Na Zuri zaidi nilikuwa nakaa hapo hapo Orlando, Florida kwa kipindi fulani.

Ubaguzi wa rangi bado upo sana kule, ingawa umejificha katika tabasamu nyingi unazoweza kukutana nazo usijue. Wanazo preconceived notion kuwa mtu mweusi yupo hivi, na huwa hawataki kuamini kuwa mtu mweusi anaweza kuwa tofauti na notion walizo nazo: Ukuwa kule wewe ni mjinga tu, hata kama unapata A na B darasani, wewe ni ombaomba tu, hata kama una kazi, wewe ni mshamba tu, hata kama umekaa huko miaka mingi. Na sababu ya hayo yote huwa ni rangi ya ngozi yako. Mkitoka leo na mtoto wa kizungu kutafuta kazi, hata kama wote ni wageni pale, mzungu atapata kazi kwanza. Na wewe utakapopata hiyo kazi, mshahara wako utakuwa chini kuliko wa yule mgeni mwenzako mzungu.

Siku moja mzungu aliniletea makombo ya chakula kwa kuamini kuwa sikuwa na chakula pale niliishi nikatupa. Na usiombe vijana wanaume wa kizungu wakakuona unapendwa na binti mzungu mwenzao. Hasira na chuki huwa inapanda zaidi kuliko kabla ya hilo kujilikana. Namejiuliza sana kama huyo kijana aliyeuawa hakuwa na girlfriend mzungu. Huchukui muda ukijifanya kupendwapendwa na wasichana wazungu--hasa katika majimbo ya Deep South, yaani Florida, South Carolina, Texas, na majimbo mengine ya kusini.

Ubaguzi upo sana America. Nimeona mwenyewe. Sijasimuliwa.

Hakuna weusi na Walatino ambao ni wabaguzi huko Amerika? Halafu, mabinti wa kizungu wao hawana ubaguzi?
 
Angeuliwa na mtu mweusi wala dunia isingemjua leo.

Jiulize tu, tokea auliwe huyo dogo kuna weusi wangapi ambao wameuliwa na weusi wenzao na dunia haiwajui?

Ndio maana dsiku zote huwa ninakataa mawazo ya watu wanaojenga mlima kwa kichuguu za siafu, unafiki wa kidini na kiitaikadi . Kusema kweli tumezungukwa na unafiki kila pembe. Mzazi wa kabila moja akikataa kumuozesha binti yake kwa mtu wa kabila jengine, huo si ubaguzi, ubaguzi ni wa muhindi kukataa binti yake asiolewe na "golo". Marekani inapowaua wahalifu wao kwa gesi, sindano za sumu na viti vya umeme, huo si uvunjaji wa haki za binadamu, Saudi Arabia ikimkamkata mkono mwizi au China ikiwanyonga mafisadi, huo ni uvunjaji wa haki za binadamu.
 
Mkitoka leo na mtoto wa kizungu kutafuta kazi, hata kama wote ni wageni pale, mzungu atapata kazi kwanza. Na wewe utakapopata hiyo kazi, mshahara wako utakuwa chini kuliko wa yule mgeni mwenzako mzungu.
Namejiuliza sana kama huyo kijana aliyeuawa hakuwa na girlfriend mzungu. Huchukui muda ukijifanya kupendwapendwa na wasichana wazungu.
Ubaguzi upo sana America. Nimeona mwenyewe. Sijasimuliwa.
Nyekundu: Wapo pia weusi watakaolalamika ikiwa wamepewa kazi mwanzo kabla ya mzungu. Watafikiri, "Wasingenijairi kama si kuhisi kwao, Oooh poor Niger, let's hire him. He's dying of hunger and missery". Mtu asiyejiamini hata umfanyie nini atalalamika tu.
Blue: Unataka kusema Wazungu kwa Wazungu wakiibiana girl friends wanasameheana, nongwa inakuwa kwa mtu mweusi tu? Inatokea nini mvulana mzungu anapotembea na msichana mweusi, anaonekana kinyaa?
 
Simply because black on black the perpetrator is always arrested and not left to walk free like this Zimmerman. That is the outrage!

Unaishi wapi Jasusi? In the hood or in the suburbs? Manake kuna perpetrators kibao ambao wako huru...
 
Nyekundu: Wapo pia weusi watakaolalamika ikiwa wamepewa kazi mwanzo kabla ya mzungu. Watafikiri, "Wasingenijairi kama si kuhisi kwao, Oooh poor Niger, let's hire him. He's dying of hunger and missery". Mtu asiyejiamini hata umfanyie nini atalalamika tu.
Blue: Unataka kusema Wazungu kwa Wazungu wakiibiana girl friends wanasameheana, nongwa inakuwa kwa mtu mweusi tu? Inatokea nini mvulana mzungu anapotembea na msichana mweusi, anaonekana kinyaa?

You are very right!

Nakumbuka mwaka 2005 Three 6 Mafia walishinda tuzo ya 'Best original song' kwenye Academy Awards (Oscars) na kuna watu kama Spike Lee wakasema eti watu wa Academy waliitoa hiyo tuzo kama kejeli tu kwa sababu wimbo ulioshinda ("It's Hard Out Here for Pimp") ulikuwa ni wimbo wa rap na hivyo ni vigumu kwa wazungu kutoa tuzo kwa dhati kwa wimbo wa rap unaozungumzia pimps and hos. Lakini kwa wakati huo huo weusi wasiposhinda tuzo yoyote watu wanaanza kulaumu ubaguzi!!
 
Nyekundu: Wapo pia weusi watakaolalamika ikiwa wamepewa kazi mwanzo kabla ya mzungu. Watafikiri, "Wasingenijairi kama si kuhisi kwao, Oooh poor Niger, let's hire him. He's dying of hunger and missery". Mtu asiyejiamini hata umfanyie nini atalalamika tu.
Blue: Unataka kusema Wazungu kwa Wazungu wakiibiana girl friends wanasameheana, nongwa inakuwa kwa mtu mweusi tu? Inatokea nini mvulana mzungu anapotembea na msichana mweusi, anaonekana kinyaa?



Panaweza kuwa na mabadiliko labda, kwa sababu nilikuwa pale miaka 25 iliyopita. Haya ninayosema yalikuwa na ukweli wakati huo, kwa hiyo kama pana mabadiliko sitashangaa sana. Kuna vijitabia fulanifulani vya binadamu ambavyo vina-cut across racial lines. Nadhani sikuwa nazungumzia kuibiana girlfriend; nilikuwa nazungumzia kupendana tu, labda tabia zenu zinakubaliana kwa hiyo mnaamua kuanza kudate. Halafu wakiona hivyo wanakuwa na feeling kama hivi hee....hata huyu? Yaani ostracism inakuwapo, na inaweza kuzaa violent reaction against wewe mvulana mweusi ambaye huyo binti mzungu kaamua kukupenda. But then again inaweza pengine ikawa tofauti. Its been so long
 
Hivi waarabu kwasababu wanauwana wenyewe kwa wenyewe then mzungu akienda kuuwa mwarabu basi watu wasizungumzie kwasababu waarabu wakiuwana wenyewe kwa wenyewe watu huwa hawazungumzii?
 
Sasa kuna picha zingine ambazo zimetoka na zinamuonyesha Trayvone kama ki-thug flani hivi...
mavazi ya 'ki-thug fulani hivi' ndio yepi?

That's rather limited appreciation for the American counter culture. It is not uncommon for mainstream class teenagers and Harvard-bound preps to don totally casual threads and body art in the streets kama vile milegezo na vipuri na ma tattoo na ma hoodie na du rags, utadhani ni fifty 50 cent and eminem. Na wengi wasio vaa hivyo wanaonekana hawako hip, ni nerds, kitu kinachochukiwa.

Huwezi kuhukumu mtu kwa mavazi, hajaja kwenye interview, I mean, ni vazi gani Marekani mtu ukimwona nalo tu unajua 'huyu thug,' a hoodie?


76163356.jpg
 
Waarabu huwa wanauwana ie suicide bombings etc, huwa hakuna shida sana, lakini ngoja mzungu auwe mmojawao uone, maandamano kila pahala kuwa ni vita dhidi ya uislam, hii ni kutokana na historia btn watu hao.

Huko Afghanistan juzi tumeona.

Same thing with blacks, watu watasema mauwaji yalikuwa motivated on hate crime/race, hilo ni kutokana na historia btn those people.

btw nimeona video ya huyo Zimmerman, awali polisi walimpiga pingu, nimemwangalia usoni, hakuwa na dalili zozote zile za a broken nose wala any visible injury.

Ingekuwa ni black to black, kama alivyosema Jasusi, angekamatwa, ama pia kama angekuwa ni black on white.

Huwezi kum drug test aliyeuwawa, na ku run background ckecks na huku aliyeuwa unamwacha licha ya background yake ambayo ana some serious rap shits ie domestic violence and a night club brawl involving a fight with police.
 
Wabongo na sisi hatuna wa kumcheka mtu, kuna tabaka la watu hapo bongo, wakiuwa always makosa ni ya marehemu, just like the way they wanted to treat this case.
 
Back
Top Bottom